Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,514
- 11,274
Duru za habari za michezo zimeripoti kuwa baada ya ufunguzi pamoja na mechi kati timu yenye hadhi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano mbalimbali hapa Duniani Simba sports club Vs Al ahly.
Baada ya ufunguzi patakua na mazungumzo kati ya Rais wa FIFA Gianni Infantino, Rais wa CAF Patrice Motsepe pamoja na Rais wa heshma wa Simba Mohamed Ghulam Dewji.
Mtazamo ya wadau wanaona jicho la Simba limeona kuna fursa kubwa zaidi kwenye hii michuano,hasa wakizingatia ujio wa Rais wa FIFA comredi Infantino ni nafasi ya kumtumia kuipa Simba SC fursa nyingi na kubwa pamoja na mikataba mikubwa ya mabilioni kutoka kampuni kubwa za michezo Duniani kote.
Mungu ibariki Simba na Ihefu tu.
Baada ya ufunguzi patakua na mazungumzo kati ya Rais wa FIFA Gianni Infantino, Rais wa CAF Patrice Motsepe pamoja na Rais wa heshma wa Simba Mohamed Ghulam Dewji.
Mtazamo ya wadau wanaona jicho la Simba limeona kuna fursa kubwa zaidi kwenye hii michuano,hasa wakizingatia ujio wa Rais wa FIFA comredi Infantino ni nafasi ya kumtumia kuipa Simba SC fursa nyingi na kubwa pamoja na mikataba mikubwa ya mabilioni kutoka kampuni kubwa za michezo Duniani kote.
Mungu ibariki Simba na Ihefu tu.