Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Huku mapinduzi yakizidi kuenea ukanda wa Afrika Magharibi, Rais wa Cameroon bwana Paul Biya mwenye umri mwenye miaka 90 amelifanyia mabadiliko Bunge pia amefanya mabadiliko makubwa katika Wizara ya Ulinzi.
Hivi karibuni ameteua watumishi wapya katika huduma za ndani na nje za Wizara.
Biya amekuwa Rais wa Cameroon tangu 1982. Alikuwa Waziri Mkuu kutoka 1975 hadi 1982.
Hivi karibuni ameteua watumishi wapya katika huduma za ndani na nje za Wizara.
Biya amekuwa Rais wa Cameroon tangu 1982. Alikuwa Waziri Mkuu kutoka 1975 hadi 1982.