Angekuwa kiongozi nzuri wajumbe wangempiga chini??Sina nia ya kukufundisha kazi, ila sipingani na ukweli wa kwamba Paul Christian Makonda ni kiongozi haswa. Kiongozi huacha sifa bora na miongoni mwa mambo mazuri alotuachia Makonda kwa taifa hili ni pamoja na vita alivyoshinda vya madawa ya kulevya na kuwa mstari wa mbele katika kutokomeza ukatili wa kijinsia.
Kwanini Mwanza tunamhitaji Makonda?
1. Uwepo wa migogoro mingi ya ardhi.
2. Halimashauri nyingi kutosimamia kwa kina pesa za miradi mbalimbali iliyochini yake mfano, ujenzi wa masoko, Barabara za mitaa pamoja na ujenzi wa stendi za magari ya abiria.
3. Ubadirifu mkubwa wa makusanyo ya halimashauri nyingi za mkoa wa Mwanza.
Kwanini Makonda na si mtu mwingine?
1. Mwamba ni jasiri na mbunifu.
2. Mwamba hamwonei MTU Haya wala aibu.
Kwa sifa hizi naamini kabisa mwamba atakuja kusimamia misingi ya sheria ilopindishwa na baadhi ya viongozi wa halimashauri za wilaya hapa mwanza.
NB. Jumamosi ijayo tufanye usafi kwa wingi kukumbuka jambo zuri la kufanya usafi aloliasisi Makonda.
Missed dearly as an RC in Dar😪Bashite nakusihi nenda kaendelee na kazi yako ya upishi kwenye meli ya wagiriki.View attachment 1544763
Sawa ni wajibu wao, lakini onyesha 'sense of good humour' basi. Kwenye agizo lako kwa mods Tanguliza neno kama 'Tafadhali, Nisaidie ama Naomba'.Mods edit heading andika Mwanza
Ni mjomba wako? Hafai kabisa.Sina nia ya kukufundisha kazi, ila sipingani na ukweli wa kwamba Paul Christian Makonda ni kiongozi haswa. Kiongozi huacha sifa bora na miongoni mwa mambo mazuri alotuachia Makonda kwa taifa hili ni pamoja na vita alivyoshinda vya madawa ya kulevya na kuwa mstari wa mbele katika kutokomeza ukatili wa kijinsia.
Kwanini Mwanza tunamhitaji Makonda?
1. Uwepo wa migogoro mingi ya ardhi.
2. Halimashauri nyingi kutosimamia kwa kina pesa za miradi mbalimbali iliyochini yake mfano, ujenzi wa masoko, Barabara za mitaa pamoja na ujenzi wa stendi za magari ya abiria.
3. Ubadirifu mkubwa wa makusanyo ya halimashauri nyingi za mkoa wa Mwanza.
Kwanini Makonda na si mtu mwingine?
1. Mwamba ni jasiri na mbunifu.
2. Mwamba hamwonei MTU Haya wala aibu.
Kwa sifa hizi naamini kabisa mwamba atakuja kusimamia misingi ya sheria ilopindishwa na baadhi ya viongozi wa halimashauri za wilaya hapa mwanza.
NB. Jumamosi ijayo tufanye usafi kwa wingi kukumbuka jambo zuri la kufanya usafi aloliasisi Makonda.
mama kaegan naona unampigia debe mumeo
Unamuombea wewe mke wake? Halafu wewe ni kama nani unaomba huyo bwege aletwe Mwanza? Msituletee mambo ya kipumbavu katika mkoa wetu, hatuna muda wa mpuuzi mwenzako.Sina nia ya kukufundisha kazi, ila sipingani na ukweli wa kwamba Paul Christian Makonda ni kiongozi haswa. Kiongozi huacha sifa bora na miongoni mwa mambo mazuri alotuachia Makonda kwa taifa hili ni pamoja na vita alivyoshinda vya madawa ya kulevya na kuwa mstari wa mbele katika kutokomeza ukatili wa kijinsia.
Kwanini Mwanza tunamhitaji Makonda?
1. Uwepo wa migogoro mingi ya ardhi.
2. Halimashauri nyingi kutosimamia kwa kina pesa za miradi mbalimbali iliyochini yake mfano, ujenzi wa masoko, Barabara za mitaa pamoja na ujenzi wa stendi za magari ya abiria.
3. Ubadirifu mkubwa wa makusanyo ya halimashauri nyingi za mkoa wa Mwanza.
Kwanini Makonda na si mtu mwingine?
1. Mwamba ni jasiri na mbunifu.
2. Mwamba hamwonei MTU Haya wala aibu.
Kwa sifa hizi naamini kabisa mwamba atakuja kusimamia misingi ya sheria ilopindishwa na baadhi ya viongozi wa halimashauri za wilaya hapa mwanza.
NB. Jumamosi ijayo tufanye usafi kwa wingi kukumbuka jambo zuri la kufanya usafi aloliasisi Makonda.