Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Mh Rais siku zote serikali inaangalia tija kwamba an individual anaifanyia Nini nchi kwa manufaa ya taifa. Cha muhimu kwenye serikali ni deliverence na uadilifu.
Naishauri serikali
Iwachukue vijana wenye mafanikio Katika sekta binafsi iwaingize Serikalini ili watumie vipaji vyao na uwezo wao kuleta tija kwa taifa.
Wazee Wana urasimu (bureaucracy)
Kujaza wazee serikali ni kuongeza urasimu usio na lazima. Mtu kama Maxence Melo hata kama hataki kuajiriwa serikalini unamuita Ikulu unamlisha kiapo cha kijeshi unampa ofisi hapo hawezi kukataa kwani anajua what consequences may be fall him in case akikataa.
Mh. Rais Magufuli, wachukue vijana wabunifu waliofanikiwa kama kina Melo walishe kiapo cha moto kama cha jeshi waingize Serikalini walete tija tujenge Taifa.
Superbug.
Naishauri serikali
Iwachukue vijana wenye mafanikio Katika sekta binafsi iwaingize Serikalini ili watumie vipaji vyao na uwezo wao kuleta tija kwa taifa.
Wazee Wana urasimu (bureaucracy)
Kujaza wazee serikali ni kuongeza urasimu usio na lazima. Mtu kama Maxence Melo hata kama hataki kuajiriwa serikalini unamuita Ikulu unamlisha kiapo cha kijeshi unampa ofisi hapo hawezi kukataa kwani anajua what consequences may be fall him in case akikataa.
Mh. Rais Magufuli, wachukue vijana wabunifu waliofanikiwa kama kina Melo walishe kiapo cha moto kama cha jeshi waingize Serikalini walete tija tujenge Taifa.
Superbug.