LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 26,914
- 41,484
mshana jr kuna uzi ameushusha, una mafumbomafumboMkuu mshana mbona umenitumia picha ya Raisi?
mshana jr kuna uzi ameushusha, una mafumbomafumboMkuu mshana mbona umenitumia picha ya Raisi?
unasoma jf ipi, mbona uzi upo?Mbona uzi wa Tanzia ya Huyo jamaa haijafunguliwa humu JF ili wanaomjua watujuze ilikuwaje maana anaonekana alikuwa bado kijana jamani?!
Tangu Jana kila nikitafuta uzi siuoni au wanasubiri hadi mwili utakapoletwa nchini kesho kutwa ?!
Juzi tu alikua CUBA.
Atarudi akimaliza ziara yake.
Ila Waziri Mchangarawe amelitupukiza Taifa kwenye chuki kubwa sana.
Waziri Mchangarawe ni adui wa haki Duniani kote kama alivyo shetani.
Kila dua anapaswa kutajwa na kulaaniwa sambamba na sheitwani.
unasoma jf ipi, mbona uzi upo?
Achana nae kasabibisha aibu ya kijinga na kijima hovyo sana, hafai hata kurudi abaki huko hukoNi muhimu kujua mkuu,
Mbona illishia vizuri, tulijua kuwa anaumwa na yeye mwenyewe akakiri.Zile habari za kusema makamu wa rais Mpango yuko wapi ziliishia wapi
Anyway, hv msibani napo hua kuna posho?
Kumbe ?!
Ngoja niangalie vizuri @ Mwaya.
Sasa kama wao ,wanakuficha mwanachi usijue , Ina wana missionsNi muhimu kujua walipo viongozi wetu
Mkuu, Hivi ni Kwa nn,aliibukia kanisani na sio eneo lake la kaziMbona illishia vizuri, tulijua kuwa anaumwa na yeye mwenyewe akakiri.
Kila akisaifiri mnapiga keleleBila shaka ni wazima wa afya njema?!
Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?
Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji
Mama Mitano tena, na TUNATOA FOMU MOJA TU...🤣🤣🤣😀😀😀🙏🙏Bila shaka ni wazima wa afya njema?!
Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?
Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji