Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

Ni sawa lakini na watendaji tanesco wanapaswa kubeba lawama kwa kutoweka mbele professionalism na badala yake wanahofia kufukuzwa kazi tu basi.
Ni wao haohao waliambiwa msikate umeme hawakukata na wao haohao wameambiwa kata umeme wanakata, inamaana wanasiasa ndio wataalamu wa uzalishaji na ugawaji umeme na sio wataalamu wetu wa tanesco?!

Kwanini asitokee jasiri mmoja akamwambia waziri, bwana mkubwa; situation ya sasa hairuhusu kukata umeme kwa sababu upo wa kutosha hivyo HATUKATI, kisha akafukuzwa kazi kwa kulinda profession yake akaenda kuomba kazi hata nchi za nje na hiyo cv yake ambayo inakuwa imepanda abrutly?

Watendaji Tanesco wakifukuzwa kazi utawatunzia familia zao. Acha ujinga wewe
 
Bora hata huko wanajua tatizo ni nini ila Tz mkuu sababu zimekuwa nyingi hadi sasa kila mtu kashika sababu zake haieleweki hasa tatizo ni nini.
Sababu nyingi zipi?

Sababu kuu ni 2 tuu
-Ukame
-Uchakavu wa Miundombinu

Baada ya bwawa la Nyerere kuanza uzalishaji katika katika ya umeme haitaisha ila mgao ndio utaisha hais miundombinu yote ifanyiwe overhaul.
 
Sababu nyingi zipi?

Sababu kuu ni 2 tuu
-Ukame
-Uchakavu wa Miundombinu

Baada ya bwawa la Nyerere kuanza uzalishaji katika katika ya umeme haitaisha ila mgao ndio utaisha hais miundombinu yote ifanyiwe overhaul.
Unakumbuka mwanzo kabisa January Makamba alituambia wanafanya service mitambo ambayo haikuwa ikifanyiwa service kwa miaka mitano na kuambiwa baada ya service umeme utakaa sawa.
 
Unakumbuka mwanzo kabisa January Makamba alituambia wanafanya service mitambo ambayo haikuwa ikifanyiwa service kwa miaka mitano na kuambiwa baada ya service umeme utakaa sawa.
Kwanza Makamba hajawahi sema ukarabati unafanyika Kwa mwaka mmja ,alisema itachukua miaka 3-4 na Maharage akapigia msumari.

Pili estimates ya ukarabati walifanya ni 4Trilioni Hadi anaondoka waliopewa Bil.500 tuu.

Sasa hapo hata robo ya mahitaji Bado then unategemea umeme uache kukatika?
 
Kwenye hili la Umeme huu ni ukweli Samia anapaswa kubeba lawama! Maana shida ya Umeme na Gas ilianza alipo anza kutoa na kuweka viongozi Tanesco hasa alipomuweka makamba!

Makamba nae akaja na lake wakadanganya wanafanya ukarabati na matengenezo lakini hakuna cha maana hadi leo …hadi yeye mwenyewe akawafukuza ….
Hakuna kilichofanikiwa Tanesco chini ya Makamba…. Hiyo mitambo waliosema wanafanyia marekebisho majuzi naibu waziri alikuta haijafnyiwa matengenezo yeyote yale …..Kwakweli Mama amechangia kuiharibu na kuhihujumu Tanesco mqzima!
 
Kwanza Makamba hajawahi sema ukarabati unafanyika Kwa mwaka mmja ,alisema itachukua miaka 3-4 na Maharage akapigia msumari.

Pili estimates ya ukarabati walifanya ni 4Trilioni Hadi anaondoka waliopewa Bil.500 tuu.

Sasa hapo hata robo ya mahitaji Bado then unategemea umeme uache kukatika?
Mkuu hapo kati yameelezwa mengi hadi watu wakataka kusikia kutoka kwa Rais mwenyewe na hatimaye Samia akaja kusema tatizo ni ukarabati wa mitambo ambayo haijafanyika muda mrefu na akasema mwisho wa tatizo la umeme ni mwakani hapo.
 
Mkuu hapo kati yameelezwa mengi hadi watu wakataka kusikia kutoka kwa Rais mwenyewe na hatimaye Samia akaja kusema tatizo ni ukarabati wa mitambo ambayo haijafanyika muda mrefu na akasema mwisho wa tatizo la umeme ni mwakani hapo.
Mwakani ni mwisho wa mgao sio mwisho wa kukatika katika Kwa umeme.
 
Lawama za kipumbavu sana hizi. Moderator futa hii. Wewe mleta uzi elewa umeme wa Tanzania hautoshi na pia tayari kuanzia awamu ya 3 TANESCO imehujumiwa mno.... imekuwa ikilipa fedha nyingi kwa kuingia mikataba mibovu iliyosababishwa na watanzania wenzetu. Hata angekuwepo Magufuli bado tatizo lingeendelea. Tusubiri bwawa likamilike tujiondoe kwenye hili tatizo.
Mkuu unataka kutetea nini kwenye hili la Tanesco? Toka ameingia Makamba Umeme ulianza kuwa tatizo kubwa hadi sasa na akasema ana karabati lakini hadi leo hakuna kilicho karabatiwa kabisa…! Gas ilipanda juu juu
 
Mkuu hapo kati yameelezwa mengi hadi watu wakataka kusikia kutoka kwa Rais mwenyewe na hatimaye Samia akaja kusema tatizo ni ukarabati wa mitambo ambayo haijafanyika muda mrefu na akasema mwisho wa tatizo la umeme ni mwakani hapo.
Kwanza Rais alirusha kijembe wanao kejeli na kisha akasema hayo lakini maswali ya wengi kwanini Tatizo limekuwa kubwa zaidi tena maradufu kipindi ambacho mnasema mnakarabati mitambo wakati kipindi mnasema hakufanyiwa ukarabati au mantainance hakukuwa na hii shida? Hivi mtandanganya hadi lini? Kwenye hili la Umeme hakuna mtanzania mtamdanganya labda aliyezaliwa 2023
 
Kwenye issue nyingi sana nchini kwa sasa mh. Rais ana entettain mambo ya kijinga sana yaani sometimes unaweza dhani nchi haina raisi ila ina mtu ambae ameshika tuu ile nafasi. Niishie hapa.
 
Lawama za kipumbavu sana hizi. Moderator futa hii. Wewe mleta uzi elewa umeme wa Tanzania hautoshi na pia tayari kuanzia awamu ya 3 TANESCO imehujumiwa mno.... imekuwa ikilipa fedha nyingi kwa kuingia mikataba mibovu iliyosababishwa na watanzania wenzetu. Hata angekuwepo Magufuli bado tatizo lingeendelea. Tusubiri bwawa likamilike tujiondoe kwenye hili tatizo.
Porojo
 
Kwenye hili la Umeme labda hata unene
Japokuwa huwa sikubaliani na mfumo wa utawala uliopo hapa Tz, lakini ukweli ni kwamba Unamuonea bure huyu mama. Janga la mgawo wa umeme ulikuwepo tangu enzi za utawala wa Awamu ya Kwanza ya Mwalimu Nyerere. Kiini cha Tatizo hili ni utawala mbovu wa Ccm pamoja na sisi wananchi wenyewe.
Kwenye hili la Umeme na Samia hata unene kwa lugha hakuna mtanzania atakaye danganyika…kila mtanzania aliyekuwa hai kuanzia 2016 anajua ukweli na anajua nini ni shida! Hata ukienda mtaani kwako ukauliza utapata jibu
 
Back
Top Bottom