Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

We nyumbu nimekwambia hivi hizo Nchi nimekutajia sio tuu Zina mgao Bali hazina umeme kabisa.

Rais amejiuzulu? [emoji2781][emoji2781]
Nenda kagoogle Kenya wana megawatts ngapi na SA wana megawatts ngapi halafu ndo uje urudishe pua yako hapa kujibizana na mimi

Unapanik broo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais wangu bila kupepesa macho wala kuona haya wewe ndo chanzo cha matatizo ya umeme nchini yote haya yana baraka zako na chanzo ni wewe

Mama aliingia akakuka shirika la Tanesco na umeme ulikua umetengamaa kwa kiasi kikubwa.

Akaanza kubadilisha watu wa Tanesco na kuweka watu aliyowaona yeye....Hapa anaulaumiwa yeye.

Akaja kumtumbua Kalemani, kosa la kumtoa kalemani hakulitoa, lakini za chini chini zinadai ni personal issues, kuogopa legacy ya mwendazake, na mambo ya ukabila, akamuweka makamba, makamba kaingia matatizo yakaanza....Hapa Rais ni wa kulaumiwa hadi Akhera

Hakuishia hapo tu, umeme ulipoanza kuharibiwa na makamba hakukemea wala kuhoji au kumgombeza makamba alitulia kama "halimuhusu vile"....,Samia unastahili lawama.

Gesi ikapanda, wakati huo huo waziri anazunguka kugawa mitungi ya Taifa gesi na Mihan kwa kutumia pesa za umma huku hiyo kampuni waziri ana hisa humo....Rais hakuongea chochote zaidi ya kuacha yaendelee.

Tanesco wakakodi app kutoka India kwa bilioni 69 Rais kimyaaa

Makamba akaanza kuivuruga Tanesco yeye na maharage wakaja na matengenezo yasiyokwisha pesa zikiwa hazijulikani.zinapokwenda Rais kimyaaa

Maharage akaingiza kitengo cha kampuni yake ya huduma kwa Wateja rais kimyaa

Nchi ikarudi Gizani Rais kimyaaa

Halafu mnasema Rais asilaumiwe kwenye hili la umeme kwani yakiwa yanatokea si yalikua na baraka zake?Au mnataka kusema wakati yote yakijiri yeye alikua usingizini?

Tunazunguka sana kuwalaumu wengine huku tukisahau mtu anayestahili kulaumiwa na kunyooshewa kidole ni "SAMIA SULUHU HASSAN" huyu ndo chanzo cha matatizo yote na yeye ndo aliyewapa "greenlight" kina Makamba wafanye wanavyotaka.

Mnawalaumu Tanesco wakati wao wanafata tu wanachoambiwa?Au mmesahau Tanesco ni watu wa "ndio mzee" wanafata maagizo ya wakubwa? Kipindi cha magufuli waliambiwa hamna kukata umeme au migao na wakatii sasa tuwalaumu Tanesco wakati wao wanafuata maagizo ya "Samia na Makamba?"

Ingekua nchi nyingine huyu Samia angejiuzulu tu na kuwajibishwa pamoja na Makamba na Maharage lakini bahati tunatawaliwa na mfumo na bunge ambalo ni la chama kimoja tu.

Kuhusu umeme wakulaumiwa na Rais Samia kwa 100%
Bado hujasema!
Mpaka useme...
2030 utafika ushajizeekea mwenyewe wakati Mama akiendelea kula bata
 
Nenda kagoogle Kenya wana megawatts ngapi na SA wana megawatts ngapi halafu ndo uje urudishe pua yako hapa kujibizana na mimi

Unapanik broo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hapo ndio utagundua Samia karithi nothing

Watangulizi wake wote failed on energy strategy
 
Nenda kagoogle Kenya wana megawatts ngapi na SA wana megawatts ngapi halafu ndo uje urudishe pua yako hapa kujibizana na mimi

Unapanik broo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Megawatt ndio zinazuia mgao? 😂😂

Fala wewe kumbe huna hata akili.Kwa taarifa Yako tuu South Africa ndio ina installed capacity kubwa Africa yote ila inaongoza Kwa mgao hapa Africa.

Sifa Moja ya nyumbu ni brainless 😀😀
 
Sio SAMIA tu,Marais wote ukimuondoa Nyerere ndio chanzo cha matatizo yote ni mafisadi papa.huko kwenye nishati,madini na maliasili ndio mahala wanapigia hela.
Na utahira wa Watanzania tutalalamika sana.
 
Kwa nini? Nchi nyingine kama ipi hiyo ambayo Rais Huwa anajiuzulu Kwa sababu ya umeme? [emoji16][emoji16]

Tuanze na Kenya na South Africa,umesikia Rais amejiuzulu?

Mwisho unamdanganya nani kwamba kipindi Cha Magufuli umeme ulikuwa haukatiki au hakuna mgao? Nikuwekee ushahidi?

Acha ujinga mkuu
Hii hoja kama una akili za Chipukizi lazima upaniki,tulia watu wazima wadadavue issues!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hamna rais apo Ila machawa mfe kwa roho mbaya kumjaza bichwa asostahili
 
Semeni Nyerere kabisa

Maana hakuacha any viable
Energy strategy
Kwani mikakati yote ya sasa aliandaa Nyerere?Bwawa la Mwalimu Nyerere alilojenga Magufuli ni legacy ya Nyerere,sasa wewe ulitaka aweke Energy strategy ipi,wakati ata Mabwawa tunayotumia sasa yeye ndiye aliyajenga!


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
We nyumbu nimekwambia hivi hizo Nchi nimekutajia sio tuu Zina mgao Bali hazina umeme kabisa.

Rais amejiuzulu? [emoji2781][emoji2781]
Hawana umeme kabisa kivipi wakati ata kiuchumi wapo juu yetu?
Acha kuleta hoja za chipukizi kwenye mijadala ya watu wazima!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mikakati yote ya sasa aliandaa Nyerere?Bwawa la Mwalimu Nyerere alilojenga Magufuli ni legacy ya Nyerere,sasa wewe ulitaka aweke Energy strategy ipi,wakati ata Mabwawa tunayotumia sasa yeye ndiye aliyajenga!


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wewe si unataka kulaumu kiongozi aliyekaa kwenye power for two years? Huko nyuma watangulizi waliweka nini?

Tafuteni pen gone pa kulaumu
Alihakikishq nchi inakuwa gizani kama sasa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
he did it

He never allowed any repair ya mitambo
 
Nenda kagoogle Kenya wana megawatts ngapi na SA wana megawatts ngapi halafu ndo uje urudishe pua yako hapa kujibizana na mimi

Unapanik broo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana na Chipukizi uyo!
Anaringanisha Tanzania na mataifa ambayo yanatuacha mbali kiuchumi na Kidemokrasia.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Megawatt ndio zinazuia mgao? [emoji23][emoji23]

Fala wewe kumbe huna hata akili.Kwa taarifa Yako tuu South Africa ndio ina installed capacity kubwa Africa yote ila inaongoza Kwa mgao hapa Africa.

Sifa Moja ya nyumbu ni brainless [emoji3][emoji3]
Mnapenda kutafuta visingizio[emoji23][emoji23]

Kipindi cha hayati mgao uliendaga wap??
 
Back
Top Bottom