peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,466
A
AkiliNdio mkuu,wewe unachumia kitu gani?
AkiliNdio mkuu,wewe unachumia kitu gani?
Mitaani hali ya maisha ni ngumu kuliko DarfurAsante mama....akili zako ni sawa na zetu kwasababu hata zako hazina maajabu. Kwa hali ilivyo Sasa mengi ni mateso tu
Kwani Magu ni baba yako? Ana wanawe na mke wakeUsiliie huyo sio mama ako anawanawe
Hakika hali Ni mbayaMi
Mitaani hali ya maisha ni ngumu kuliko Darfur
Mkuu hata madada powa wamepanda bei mitaani wanasema vita ya Urusi.Hakika hali Ni mbaya
Hakika hali Ni mbaya
Kwa hiyo alikubutua kidogo tu akakuachia ukimwi tena?Mwendazake hakua na nguvu za kumwachia mtu kovu... ukimwi ulishaitwaa taji yake.
Dada hata nikinunua nokia kitochi ni cha hela yangu siyo wewe unajivunia simu za bei mbaya huku unahongwa tu.We ambae hata samsung s9 inakushinda utamuweza nani?
Ordinary mind!;🤣🤣. Kweli matusiDuh......
Naweza kuita kuwa hayo ni matusi ya rejareja
WAPIGA KURA WETUNimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida
''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''
Swali akili za kawaida ndio zipi?
USSR
Mimi sio mke wake wala sampuli yake wewe baba angu ni mbegu unique sana nasema fact nilizoona alifanya,kwanza huyu mama anafanya yake kwamba anayoifikia na uwezo wake.Kwani Magu ni baba yako? Ana wanawe na mke wake