wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
2025 rais ni Gwajima, makamu wake Ni Polepole, Waziri mkuu Musiba.
Chief wetu Hangaya akaze kweliJiwe na ukatili wake na ubabe wake Ila jasho lilimtoka 2020.
Huyu bibi hangaya Hadi kufika hiyo 2025 atakuwa kishasusa
ashaolewa utatanuliwa rinda.Hilo lipowazi ila apige kazi sio majungu .nampenda Samia hadi naumwa
USSR
Ndio anajipigia prom hivyoHuyo mwanamke si ni yeye Sasa..😅
Kifungu gani cha katiba!Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Jambo jema tuombe iwe hivyoNashukuru Mungu kuwa atakuwa mtu wakwanza kuachia Madaraka kwa amani
Dah pole mkuu inaonekana unajiziba kweli na kuchukizwa na yanayo endeleanchi yao agombee tu. Hata akitaka kuwa raisi wa milele kama Mwendazake na awe tu. ila akumbuke kwenye kila mpango kuna mpangaji mkuu zaidi ambae maamuzi yake ndio ya mwisho. Arejee kuondoka kwa Jiwe na mipango lukuki aliyokuwa nayo.
Kukiwa na fair competition kwenye chama hawezi kuingia hata kwenye 5 bora.Ndio anajipigia prom hivyo
Hata ubunge tu hawezi pata sembuse uraisiJiwe na ukatili wake na ubabe wake Ila jasho lilimtoka 2020.
Huyu bibi hangaya Hadi kufika hiyo 2025 atakuwa kishasusa
Asante kwa kuonyesha wazi hisia zakoHilo lipowazi ila apige kazi sio majungu .nampenda Samia hadi naumwa
USSR
uka date nayeHilo lipowazi ila apige kazi sio majungu .nampenda Samia hadi naumwa
USSR
Hapana tusianze kuchanganya issues sasa hivi! Kwanza muda wenyewe bado na hakuna atakaye thubutu kusema anautaka Urais 2025? Labda Januari, huyu anaweza kusema ili wafadhili wake wakae mkao wa kutayarisha mapesa, lakini kwa akina mama hakuna! Turudi kwenye hoja, nadhani Katiba inamruhusu Rais SSH kugombea kwani hajawahi kuwa mgombea wa URAIS na kushinda, kama alivyosema yeye mwenyewe hii ya kwake ya sasa hivi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu, muhula wake wa kugombea utaanza 2025! Au wewe unaonaje!?Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Kweli kutoboa mbele ya timu Gwajima,slaa na polepole kazi ipoKukiwa na fair competition kwenye chama hawezi kuingia hata kwenye 5 bora.