Hapa mkulima anakosa gani mpaka anaongezewa riba ya adhabu!?
Hakuna namna serikali iwajibike kuwanusuru wakulima hawa wanyonge baada ya ulaghai au kutokujali madhara ya maamuzi ya serikali kuwashawishi wakulima waingie ktk kilimo hiki cha miwa halafu wakaingia hasara kisha kuwatupa bila fidia au kulipwa Jasho lao.