Rais Samia akiwa katika ziara Mkoa wa Pwani ameshiriki uzinduzi rasmi wa safari za mizigo za reli ya SGR, Uzinduzi wa kituo cha kimataifa Logistic cha Kwala na uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala amewataka Viongozi kuendelea kuhamasisha wadau wa sekta binafsi wa ndani na nje ya nchi kuchangamkia fursa ya huduma ya reli kwa kununua vichwa vya treni na Mabehewa yao wenyewe.
" Ili kuhakikisha Reli hii inatumika kikamilifu endeleeni kuwahamasisha wadau wa sekta binafsi wa ndani na nje ya nchi kuchangamkia fursa hii ya kutumia miundombinu ya reli ya kusafirisha abiria na mizigo kwa kununua vichwa vya treni na mabehewa yao wenyewe. Hii ni Fursa ya biashara. Tutoe furs kwa sekta binafsi wenye uwezo wa nje au ndani ya nchi kuja na mabehewa na vichwa vyao na tukubaliane jinsi ya kuoperate, Sisi serikali kazi yetu ni kuulaza Miundombinu, private sector itumie miundombinu kufanya biashara kwahilo fikirieni mazungumzo na sekta binafsi" amesema Rais Samia
" Ili kuhakikisha Reli hii inatumika kikamilifu endeleeni kuwahamasisha wadau wa sekta binafsi wa ndani na nje ya nchi kuchangamkia fursa hii ya kutumia miundombinu ya reli ya kusafirisha abiria na mizigo kwa kununua vichwa vya treni na mabehewa yao wenyewe. Hii ni Fursa ya biashara. Tutoe furs kwa sekta binafsi wenye uwezo wa nje au ndani ya nchi kuja na mabehewa na vichwa vyao na tukubaliane jinsi ya kuoperate, Sisi serikali kazi yetu ni kuulaza Miundombinu, private sector itumie miundombinu kufanya biashara kwahilo fikirieni mazungumzo na sekta binafsi" amesema Rais Samia