Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Kama kaishia la nne hayo maneno ya kingereza yatamsumbua.Samahani! Don’t be offended! Umeishia darasa la ngapi?
Kama kaishia la nne hayo maneno ya kingereza yatamsumbua.Samahani! Don’t be offended! Umeishia darasa la ngapi?
Umemaliza kila kitu. Huyu jamaa inalekea ni wale wanaodhani wanasiasa ni wabobezi wa kila kitu. Na bila shaka kwake kiongozi mbovu kama alivyokuwa Makonda, atasema ni kiongozi mzuri. Kma ulivyosema mji unapangwa na wataalam na hupangwa kitaalam kabla. Nji kama Dodoma bila shaka kama walizangatia sheria utakuwa ulishapangwa na haiwezekani kila mkurugenzi aingie na ''ufundi'' wake.Mipango miji ni taaluma sio siasa. Ikiwa tumefikia mahali wakina Kunambi ndio wanaopanga mji kama Dodoma uwaje matatizo hayako mbali. Kupanga aina ya mabati ya kuezeka sio kigezo cha ubora wa mipango miji. Na umenitisha zaidi uliposhauri watumike wanafunzi kwenye suala hili nyeti. Tukifuata ushauri wako ndio utakuwa mwisho wa Jiji la Dodoma lenye staha.
Amandla...
Rangi za mapaa??? Kwamba hali ya hewa itaziathiri vip????Suala la Rangi za mapaa halipo practical.... kuna Rangi nyingine hazifai kuwekwa hapo Dodoma kutokana na climatic condition. Hopefully Mkurugenzi wa Jiji wa sasa ambaye ni Town Planner mzoefu analifanyia kazi hili.
Mpango wa awali wa Dodoma ulitayarishwa na wa Canada lakini ukiondoa drainage system ba Area C hamna kilichofuatwa. Wana siasa wakawa wanajiamulia wanachotaka. Hata huo mpango wa sasa nina shaka nao.Umemaliza kila kitu. Huyu jamaa inalekea ni wale wanaodhani wanasiasa ni wabobezi wa kila kitu. Na bila shaka kwake kiongozi mbovu kama alivyokuwa Makonda, atasema ni kiongozi mzuri. Kma ulivyosema mji unapangwa na wataalam na hupangwa kitaalam kabla. Nji kama Dodoma bila shaka kama walizangatia sheria utakuwa ulishapangwa na haiwezekani kila mkurugenzi aingie na ''ufundi'' wake.