GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
"Mtendaji Mkuu wa DAWASA ameniambia ukiacha hii hali ya ukame tunayopitia Dar es salaam upatikanaji wa maji upo asilimia 94. hii ina maana kwamba tupo karibu sana au tumeshafikia ile asilimia tuliyoelekezwa na CCM ya asilimia 95" - Rais
Chanzo: EATV
Mimi GENTAMYCINE siyo Mathematician kama Mkurugenzi wa NEC Poti wangu wa Kizanaki Dk. Mahera au Marehemu Profesa Ngowi ila kwa hii hii Hesabu yangu ya hapa na pale ( ya Kubahatisha ) ukisema 94% Maji yanapatikana hapa unamaanisha Jiji lote la Dar es Salaam sasa lina Maji, hatunuki tena Vikwapa na kwamba labda sehemu isiyo na Maji ndogo mno kama kusema Msasani Maandazi Road kuja mpaka usawa wa Namanga au Ada Estate.
Mama ( Rais ) una uhakika kuwa Mkoa wako huu wa Dar es Salaam sasa hivi upatikanaji wa Huduma ya Maji ni hiyo 94% uliyoitaja baada ya Kudanganywa ( Kuingizwa Chaka ) na hao ( hawa ) Dawasa?
Mama ( Rais ) una habari kuwa sasa unaenda Mwezi wa Pili huu Watu wa Ushuani ( Oysterbay ulikokuwa Unaishi ) na Masaki yote hadi kule anakoishi Mzee Wetu na Mwanadiplomasia Nguli ( Ngwena ) Salim Ahmed Salim na kwa Hayati Rais Mstaafu Mkapa hawana Maji?
Halafu Mama ( Rais ) upatikanaji wa Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam unahusiana nini na CCM yako? Kwahiyo wana CCM pekee ndiyo Wanaooga na wenye Shida ya Maji ila Wapinzani na Sisi Watu Neutral akina GENTAMYCINE ndiyo hatupaswi kuyapata na hatuyahitaji hayo Maji?
Binafsi huwa sipendi kabisa Kukusema kwani ukiachilia mbali kuwa Wewe ni Rais wangu ila pia ni kama Mama yangu vile hivyo ukiwa Unavapa ( Unakosea ) kila mara na Kuingizwa Chaka na Watendaji au Wasaidizi wako huwa najisikia vibaya sana tu.
Hali ya Maji Dar ni mbaya sana Rais!!!
Cc: bolivia
Chanzo: EATV
Mimi GENTAMYCINE siyo Mathematician kama Mkurugenzi wa NEC Poti wangu wa Kizanaki Dk. Mahera au Marehemu Profesa Ngowi ila kwa hii hii Hesabu yangu ya hapa na pale ( ya Kubahatisha ) ukisema 94% Maji yanapatikana hapa unamaanisha Jiji lote la Dar es Salaam sasa lina Maji, hatunuki tena Vikwapa na kwamba labda sehemu isiyo na Maji ndogo mno kama kusema Msasani Maandazi Road kuja mpaka usawa wa Namanga au Ada Estate.
Mama ( Rais ) una uhakika kuwa Mkoa wako huu wa Dar es Salaam sasa hivi upatikanaji wa Huduma ya Maji ni hiyo 94% uliyoitaja baada ya Kudanganywa ( Kuingizwa Chaka ) na hao ( hawa ) Dawasa?
Mama ( Rais ) una habari kuwa sasa unaenda Mwezi wa Pili huu Watu wa Ushuani ( Oysterbay ulikokuwa Unaishi ) na Masaki yote hadi kule anakoishi Mzee Wetu na Mwanadiplomasia Nguli ( Ngwena ) Salim Ahmed Salim na kwa Hayati Rais Mstaafu Mkapa hawana Maji?
Halafu Mama ( Rais ) upatikanaji wa Maji kwa Mkoa wa Dar es Salaam unahusiana nini na CCM yako? Kwahiyo wana CCM pekee ndiyo Wanaooga na wenye Shida ya Maji ila Wapinzani na Sisi Watu Neutral akina GENTAMYCINE ndiyo hatupaswi kuyapata na hatuyahitaji hayo Maji?
Binafsi huwa sipendi kabisa Kukusema kwani ukiachilia mbali kuwa Wewe ni Rais wangu ila pia ni kama Mama yangu vile hivyo ukiwa Unavapa ( Unakosea ) kila mara na Kuingizwa Chaka na Watendaji au Wasaidizi wako huwa najisikia vibaya sana tu.
Hali ya Maji Dar ni mbaya sana Rais!!!
Cc: bolivia