Rais Samia, unataka Lissu anyongwe mpaka afe?

Rais Samia, unataka Lissu anyongwe mpaka afe?

Kumbe wewe ni mtoto hata hujui kuwa aliye muua mkuu wa mkoa wa Iringa alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa na Nyerere akathibitisha humu hiyo na mtu akanyongwa.
Baada ya Nyerere nani alisaini jukumu za kifo? Tunasubiria Chadema waje Wasaini hizo hukimu.

By the way Wasira amesema wao wanaamini.kwenye maridhiano ila huyo mtu wenu kama ni jeuri abakiw huko huko ndani.
 
Ndugu Rais.

Huku mtaani wananchi wana shock kubwa, hawaamini kinachoendelea nchini.
Wanasema kwa mujibu wa mashitaka ambayo serikali yako imemfungulia Lissu, huenda akanyongwa mpaka kufa. Idea hiyo pekee inawapa wananchi ganzi, simanzi na kwa kweli inawafanya wakuchukie.

Na makada wa CHADEMA wanawaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara kuwa serikali yako inataka kumnyonga Lissu.

Kesi hii ndugu Rais, inawafanya watu wakuone kama huna moyo hivi. Tafadhali kabla ya haiba yako haijachafuka na watu kukuona mtawala katili, tafadhali ondoa hii kesi mahakamani.

Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025

Tunapoelekea utaanza kuchukiwa na umma kama kipindi kile ulivyoendelea kumshikilia Mbowe gerezani, Kesi ile ilikuwa imekutoa ktk mioyo ya Watanzania sana na laiti ungeng'ang'ania kumshika Mbowe kwa muda mrefu zaidi, umma ungekuona kwa jicho negative sana. Sasa situation kama hiyo ninaiona sasa ambapo umma umeanza kukuangalia kwa jicho baya.

Ndugu Rais, Serikali yako inaongoza kwa kuwaweka wapinzani wa utawala wako jela. Ushanuweka Mbowe ndani kwa kesi ya Ugaidi, Ushamfungulia Dr Slaa, Mwabukusi na Mdude kesi ya Uhaini, na sasa Lissu serikali yako imemfungulia kesi ya uhaini. Wananchi wanasema unatumia mahakama kisiasa kupitiliza. Wanakuona kuwa huwezi kujibu hoja za wapinzani kwa hiyo badala yake unatumia msuli wa dola!.

Ndugu Rais ni kweli unaweza kumuweka Lissu jela na hata kumnyonga, lakini kiukweli hii dhana ya kumnyonga Lissu inaibua hisia nzito mno kwa wananchi huku mtaani na watu wanakuangalia vibaya sana.

Ujumbe nimekufikishia, utaamua mwenyewe serikali ifanye nini, Wananchi hawaamini kuwa mahakama inaweza kuwa huru kutenda haki kulingana na historia ya kesi hasa za hivi karibuni, kwa hiyo wananchi wanasema kuwa hii ngoma ni yako na si mahakama.

Kumnyonga Lissu kwa maoni yangu is not a good idea!.
Makada wanatafuta huruma kwa umma, lissu hawezi kunyongwa kamwe, lissu anafunzwa adabu nzuri na jinsi ya kuutumia mdomo wake kwa manufaa.
 
Ndugu Rais.

Huku mtaani wananchi wana shock kubwa, hawaamini kinachoendelea nchini.
Wanasema kwa mujibu wa mashitaka ambayo serikali yako imemfungulia Lissu, huenda akanyongwa mpaka kufa. Idea hiyo pekee inawapa wananchi ganzi, simanzi na kwa kweli inawafanya wakuchukie.

Na makada wa CHADEMA wanawaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara kuwa serikali yako inataka kumnyonga Lissu.

Kesi hii ndugu Rais, inawafanya watu wakuone kama huna moyo hivi. Tafadhali kabla ya haiba yako haijachafuka na watu kukuona mtawala katili, tafadhali ondoa hii kesi mahakamani.

Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025

Tunapoelekea utaanza kuchukiwa na umma kama kipindi kile ulivyoendelea kumshikilia Mbowe gerezani, Kesi ile ilikuwa imekutoa ktk mioyo ya Watanzania sana na laiti ungeng'ang'ania kumshika Mbowe kwa muda mrefu zaidi, umma ungekuona kwa jicho negative sana. Sasa situation kama hiyo ninaiona sasa ambapo umma umeanza kukuangalia kwa jicho baya.

Ndugu Rais, Serikali yako inaongoza kwa kuwaweka wapinzani wa utawala wako jela. Ushanuweka Mbowe ndani kwa kesi ya Ugaidi, Ushamfungulia Dr Slaa, Mwabukusi na Mdude kesi ya Uhaini, na sasa Lissu serikali yako imemfungulia kesi ya uhaini. Wananchi wanasema unatumia mahakama kisiasa kupitiliza. Wanakuona kuwa huwezi kujibu hoja za wapinzani kwa hiyo badala yake unatumia msuli wa dola!.

Ndugu Rais ni kweli unaweza kumuweka Lissu jela na hata kumnyonga, lakini kiukweli hii dhana ya kumnyonga Lissu inaibua hisia nzito mno kwa wananchi huku mtaani na watu wanakuangalia vibaya sana.

Ujumbe nimekufikishia, utaamua mwenyewe serikali ifanye nini, Wananchi hawaamini kuwa mahakama inaweza kuwa huru kutenda haki kulingana na historia ya kesi hasa za hivi karibuni, kwa hiyo wananchi wanasema kuwa hii ngoma ni yako na si mahakama.

Kumnyonga Lissu kwa maoni yangu is not a good idea!.
Atachukiwa na umma au nyumbu!?
Binafsi nitazidi kumpenda kwakutuondolea wakala ukoloni
 
Ndugu Rais.

Huku mtaani wananchi wana shock kubwa, hawaamini kinachoendelea nchini.
Wanasema kwa mujibu wa mashitaka ambayo serikali yako imemfungulia Lissu, huenda akanyongwa mpaka kufa. Idea hiyo pekee inawapa wananchi ganzi, simanzi na kwa kweli inawafanya wakuchukie.

Na makada wa CHADEMA wanawaambia wananchi kwenye mikutano ya hadhara kuwa serikali yako inataka kumnyonga Lissu.

Kesi hii ndugu Rais, inawafanya watu wakuone kama huna moyo hivi. Tafadhali kabla ya haiba yako haijachafuka na watu kukuona mtawala katili, tafadhali ondoa hii kesi mahakamani.

Soma Pia: Tundu Lissu ashtakiwa kwa Uhaini, arudishwa rumande, kesi yake kusikilizwa Aprili 24, 2025

Tunapoelekea utaanza kuchukiwa na umma kama kipindi kile ulivyoendelea kumshikilia Mbowe gerezani, Kesi ile ilikuwa imekutoa ktk mioyo ya Watanzania sana na laiti ungeng'ang'ania kumshika Mbowe kwa muda mrefu zaidi, umma ungekuona kwa jicho negative sana. Sasa situation kama hiyo ninaiona sasa ambapo umma umeanza kukuangalia kwa jicho baya.

Ndugu Rais, Serikali yako inaongoza kwa kuwaweka wapinzani wa utawala wako jela. Ushanuweka Mbowe ndani kwa kesi ya Ugaidi, Ushamfungulia Dr Slaa, Mwabukusi na Mdude kesi ya Uhaini, na sasa Lissu serikali yako imemfungulia kesi ya uhaini. Wananchi wanasema unatumia mahakama kisiasa kupitiliza. Wanakuona kuwa huwezi kujibu hoja za wapinzani kwa hiyo badala yake unatumia msuli wa dola!.

Ndugu Rais ni kweli unaweza kumuweka Lissu jela na hata kumnyonga, lakini kiukweli hii dhana ya kumnyonga Lissu inaibua hisia nzito mno kwa wananchi huku mtaani na watu wanakuangalia vibaya sana.

Ujumbe nimekufikishia, utaamua mwenyewe serikali ifanye nini, Wananchi hawaamini kuwa mahakama inaweza kuwa huru kutenda haki kulingana na historia ya kesi hasa za hivi karibuni, kwa hiyo wananchi wanasema kuwa hii ngoma ni yako na si mahakama.

Kumnyonga Lissu kwa maoni yangu is not a good idea!.
Ningekuwa Lissu ningekubali hatia ya uhaini (plead guilty) ili nione namna Samia ana guts za kusaini hati ya hukumu yangu ya kunyongwa hadi kufa au ni kutishana tu kutafuta leverages za negotiations za gizani.
 
Kwajyo hatutakiwa kitawaliwa na mzanzibari? Anatakiwa nani? Hii dhambi ya ubaguzi mnayotaka nyie watu majinga haitatuacha tukiichelea na ww ndyo mjinga kwl kwl badae itakuja ubaguzi wa mikoa kama sio makabila....! Kuwa upinzani haimaanishi ww ni intellectual unaeza kuipinga serkali na ukawa taahira vilevile
 
Na sisi Watanganyika wajinga sana kutawaliwa na Mzanzibar tunachekelea.
Kwajyo hatutakiwa kitawaliwa na mzanzibari? Anatakiwa nani? Hii dhambi ya ubaguzi mnayotaka nyie watu majinga haitatuacha tukiichelea na ww ndyo mjinga kwl kwl badae itakuja ubaguzi wa mikoa kama sio makabila....! Kuwa upinzani haimaanishi ww ni intellectual unaeza kuipinga serkali na ukawa taahira vilevile
 
Kwanini unapoteza muda wako kuomba favor isiyohitajika? Kesi yenyewe ya kumkuta Lissu na hatia iko wapi? Hata kama itapangiwa judge kada wa CCM, Court of Appeal of Tanzania itatengua hukumu ya kijinga itakayotolewa na huyo judge!
Kwa hiyo mnampotezea muda tu??
 
Kama ametenda kosa ni sawa ,uzuri hakuna hukumu ya kifo imewahi tekelezwa baada ya Nyerere Hadi hapo Rais wa Chadomo atakapokuja maana ndio wanasema watawanyonga mafisadi na wahaini.
Hata kifungo cha maisha haitakubalika, Lissu sio mhaini, hapaswi kuwa gerezani kwa sababu yoyote ile.
 
Baada ya Nyerere nani alisaini jukumu za kifo? Tunasubiria Chadema waje Wasaini hizo hukimu.

By the way Wasira amesema wao wanaamini.kwenye maridhiano ila huyo mtu wenu kama ni jeuri abakiw huko huko ndani.
CHADEMA wakija wataiondoa kabisa sheria ya kuhumu watu kunyongwa mpaka kufa,hawatakuwa na maigizo kama haya sheria ya kunyonga ipo palepale watu wanahukumiwa kunyongwa, hao hao walioikumbatia sheria ya kunyonga wanajivalisha utakatifu wa bandia kwa kukataa kusaini hukumu ya kunyongwa wakati kisaikolojia wanakuwa wamesha kunyonga na isitoshe aliye hukumiwa adhabu hiyo atakuwa ni wa gerezani na atafia gerezani.
 
Subiri mahakama ndio itaamua hatuwezi kumwacha mtu anayetishia uvunjifu wa Aman eti kisa yeye anatokea upinzani.hii nchi ikiharibika sisi tutakimbilia wapi?
 
Ukweli hii imepelekea wananchi kuanza kumchukia saba.
Tunashauri atumie nguvu zake kuondoa kesi hii mara moja, na akutane na viongozi wa vyama vya upinzani vyote ili wapate suluhu ya pamoja.
Hii dhambi ya kumnyonga mtu asiye na hatia itaathiri ukoo wa mheshimiwa Rais milele na milele.
Sisi tunaompenda kwa dhati, tunamuwambia ukweli.
Ukweli ni kwamba, njia aliyokuwa akitumia Mtangulizi wake ilikuwa imejifunga. Yeye kaamua kutumia gharama kubwa kuhakikisha anairejesha njia ile ile. Na sasa yuko katikati ya njia kuelekea kule kule alikolenga Mtangulizi wake. Je atatoboa?? Mungu ni yule yule jana leo na kesho.
 
Back
Top Bottom