Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,818
- 62,031
- Thread starter
- #101
Samia ni katili sana tu. Anajificha kwenye jinsia yake, dini yake na Uzanzibari wake akiaambiwa anakosea mfano kuuza bandari, kuwafukuza Wamasai, kuuza misitu, tozo, ufisadi, mikopo ya hovyo, teuzi za hovyo, rushwa, kuua demokrasia ndani ya chama chake na kwa wapinzani wake.
Hayo anayoyafanya angekuwa Ruto, Museveni, JPM, Kagame watu wote wangepiga kelele sana hata Zitto, Mbowe. Hana tofauti na hao ila yeye hana vision yoyote, hana uzalendo wowote anautaka urais kwa ajili ya mamlaka, pesa, kutanua, kusafiri.
Alipoingia madarakani baada ya kifo cha JPM sikudhani kama anaweza kuwa Insensitive kiasi hiki