Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Hilo ni kosa kubwa. Anapohubiri Amani ya nchi akemee pande zote zinazotoa lugha mbaya. Sasa kudhan wapinzani pekee ndio wanapaswa kukemewa ni kosa.
 
KAZI na utu,tunasonga mbele!!
October tuna tick aiseh!Tena sana!!

Mitano Kwa mwenyekiti was CCM !!
 
Hana amani hapo alipo, na kama angelijua mambo yatakuwa hivi bac hata huo urais angeachana nao.

Tunasubiri - kuna harufu naiona ya the hegi inamvisia mtu.
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Yeye ndo anawapa maneno ya kusema.
 
Sura halisi ya watanzania ataiona mwishoni kabisa mwa utawala wake, ndipo ataujua unafiki wa watanzania.

Lakini sio kwamba hajui, wazanzibari ndio wataalam wa backbiting.
 
Lissu anastahili atandewe haki yake kisheria , mahakama isipotoa hukumu ya kumnyonga itakua imemdhulumu Lissu haki yake
Neno kuknukisha halipo kwenye kamusi ya Kiswahili na si lugha ya kushika bunduki na waasi ni Lugha ya kupaza sauti kudai haki, Mahakamaccm hawana sahemu ya kumtia hatiani , hawezi kufungwa kamwe
 
Mi nafurahi ninavoona bado yupo kwenye upofu mzito,,,,na iendee hivi hivi.....ili siku akija kufumbua macho akute amechelewa saaaanaaaaa
Wenye ccm yao akina majaliwa Bashiru Nape Makamba na wenzao wanatuma chawaccm wamchochee afanye mambo ya hovyo jamii izidi kumchukia kisha wapate kisingizio cha kumwengua kwenye mbio za Urais
 
Hana amani hapo alipo, na kama angelijua mambo yatakuwa hivi bac hata huo urais angeachana nao.

Tunasubiri - kuna harufu naiona ya the hegi inamvisia mtu.
Wenye ccm yao wana mpango wa kutekeleza Utabiri wa shekhe Yahya
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Kauli hizo si SALAMA
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
britanicca mbona hilo dogo sana. Unakumbuka yule aliyesema viongozi wazuri hawafi! Maana yake wao ni viongozi wazuri will never die. Ila hatukukaa sana Mbobezi akafa. Na hakuwahi kukemea.
 
FB_IMG_1751954826658.jpg
 
1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,
Na kwa bahati mbaya vyote hivyo hana na sijui kama anajua kuwa rais anatakiwa awe na hayo mambo matatu
 
Write your reply...lissu akipatikana na hatia anyongwe haraka siku hiyo hiyo ya hukumu
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Ushamaliza ya kisiwani?
 
Write your reply...lissu akipatikana na hatia anyongwe haraka siku hiyo hiyo ya hukumu
Kumnyonga ni kumpa sifa zisizo zake

Lissu will end up like mbowe tu

Soon upinzani wataelewa model yq siasa za Lissu are not working
 
Back
Top Bottom