Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Jumapili ya Leo tukasome kitabu cha Daniel 3 juu ya Mfalme Nebukadneza haya wanayofanya juu ya TAL na wengine watakuja kumkiri Mungu wa kweli kwa vinjwa vyao kama Nebukadneza alivyofanya Juu ya Meshaki,Shadrack na Abednego alikua akiabudiwa na sanamu lake alikua na machawa na wapambe lukuki lakini Mungu alijiinua nakufanya muujiza ambao uliondoa kiburi chake chote

Danieli 3:28
[28]Nebukadreza akanena, akasema, Na ahimidiwe Mungu wa Shadraka, na Meshaki, na Abednego; aliyemtuma malaika wake, akawaokoa watumishi wake waliomtumaini, wakaligeuza neno la mfalme, na kujitoa miili yao ili wasimtumikie mungu mwingine, wala kumwabudu, ila Mungu wao wenyewe.

No reform No Election
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Do not waste your time to advice stupid people
 
Ndo huyu
Screenshot_20250524-223813.png
 
Very strange..hiv mtu anakosaje kuchagua company yake? Au ndio kusema kila kitu anapangiwa?
Unajua mkuu kwa katiba yetu yafaa rais tunayekuwa naye awe na akili extra (inteligent)...akiwa na akili za kawaida ni rahisi kuwa manipuleted na watu waliomzunguka kwasabb wanafaidika wao!.
Sasa sa100 wahuni washamjulia & wameshamu win....wao wanacholenga ni maokoto tuu (kubaki madarakani/vyeo), ila kwa wenye akili walio nje ya sytem wanabaki kushangaa inawezekanaje haya??
Mie naona hakuna utawala utakaongoza kwa kuzodolewa kama wa sa100 pindi akitoka madarakani!!.
Una mapungufu mengi, ya kijinga tena ya wazi kabisa!!.
 
Fa
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
[/QUOTE
Fanya yako mzee
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Aaaah, hebu na nyie msituchoshe bwana! Mjue na watu kushauri! Huo uwezo wa kung'amua kwamba hili ni baya na hili liko sawa ameutoa wapi? Hiyo akili jamani hana mtakuwa mnamwonea tu!
 
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Mda mwalimu mkuu , ipo siku tutalia wote kila mmoja kwa namna yake
 
Lissu anastahili atandewe haki yake kisheria , mahakama isipotoa hukumu ya kumnyonga itakua imemdhulumu Lissu haki yake


Mtu kama wewe hata kuzaliwa kwako ni hasara tupu, kwani huna faida kwa kiumbe chochote.
 
Back
Top Bottom