Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Isaidie mahakama kipengele cha ushaidi ili Lisu apatiwe haki yake mapema.


Kusota rumande NI kero kwake . SASA NI wakati WA kupumzika kaburini


Uhaini umetekelezwq na mtu mmoja.
Muhaini hatakiwi anyongwe haraka anatakiwa akae mahabusu muda mrefu kwanza ili iwe funzo kwa wengine
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Nchi ilikuwa bado haijawa tayari kuongozwa na mwanamke ambaye hakujiandaa kuwa rais
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Atakemeaje naye ndiye amemtuma huyo Sheikh aseme hivyo? Madhila yote wanayopitia Chadema ikiwepo kutekwa, kuteswa, kupotezwa, kufunguliwa kesi za uwongo na kuuwawa kikatili kama ilivyokuwa kwa Ali Kibao na maagizo mahsusi toka kwake.
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Leo hujaja na code!!?..kuna watu wengi hu-risk maisha yao kunusuru taifa,one for the team,kama raia buku wana ebola na wamejulikana,piga moto kuokoa 60m+ wasio na ebola,hakuna cha ajabu kwenye kauli ya sheikh
 
Back
Top Bottom