HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,328
- 1,666
Mama kazungikwa na wahuni
Lazima aingizwe mkenge Ili wamuondolee uhalali wa kugombea mwakani!!sio kwa bahati mbaya japo ukweli raia ndio tunaumizwa na hiyo ishu!Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
Nimeisikiliza hotuba yote na ilikuwa nzuri, imetoka wakati sahihi, maudhui yametiririka vizuri na ujumbe umewafikia wahusika. Na ninavyopitia mitandao mbalimbali ikiwemo JF, inaonyesha kuwa walengwa wote wameielewa vizuri hotuba na kuweweseka katika majibu yao.Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Nionavyo mimi kwa Kiongozi Smart, mwenye kujielewa na mzalendo ukiletewa taarifa nzito ipokee ila ni vizuri ukaifuatilia na wewe kimya kimya kwa njia unazozijua wewe ili kupata usahihi hasa, kinyume na hapo utakuwa kama Sponge, maji linanyonya, Mafuta, oil nk nk.Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
Hiko kingereza umemaliziaje hapo, tusomee Kwa sauti🤣🤣🤣UNAPOTEZA MUDA WAKO BURE KUSHAURI WAPUMBAVU MY BE YOUR ONE OF THEM
Ikulu walicheza sana kuedit maneno yake kwenye ile official press release waliyoandika baada ya lile tukio!Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
Salute na Kishibdo juu Mkuu...Ukiandika hizo nondo yenye vitu hivyo utapeli, ujambazi, wizi na uuaji nitag na mods wakae kizalendo zaidi
Kumbe naye anapiga kitu.Mama akishapiga KV sio wa kumuachia mic
Well presented. The problem is, does she visit JF? Who is honest enough to tell Her Excellency to read this?Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
Katika miaka ya 1960 serikali ya Tanzania iliingia katika aibu kubwa sana.Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
Wanyonge wanaamini ni Kwa Bahati mbaya ameshtukizwa kumbe hiyo ni Mipango pangwa Kwa ustadi na mikakati madhubuti nyuma ya Pazia.Samia anajua kuwa yote ni uongo LAKINI KWA VILE YANAMSAIDIA KU CONSOLIDATE POWER, AGRESSIVE SUPREME OF POWER, ANAYAKUBALI AKIJUA FIKA KUWA NI UONGO MTUPU
May beHiko kingereza umemaliziaje hapo, tusomee Kwa sauti🤣🤣🤣
Ukweli ndio Rais Samia anadanganywa na wanaomzunguka na kumgombanisha na Watanzania na hata kimataifa. Rais wangu tafuta taarifa sahihi kwa watu wasio na mgongano wa maslahi. Wengine kwenye Chama wanatamani uharibikiwe na mambo yaharibike mbeleni.Rais Wangu na Mwenyekiti wa chama changu kwanza Pole kwa kazi nzito unazofanya
Kuhusu mauaji wanaokupa Report wamekudanganya! Clip ya Slaa kuhusu Chadema kuteka katibu wake ni jambo la kisiasa na muda huo alikuwa akitetea nafasi yake!
Pili Polisi wanaua kila siku watu ambao hawana hatia
Narudia Nataka niandike jambo kwa uwakilishi au uwasilishaji wake uwe wa kwamba mods hawataondoa Uzi !
Ila Polisi baadhi
1. Matapeli
2. Majambazi
3. Wezi
4. Wauaji
wanatumia nafasi yao kufanya hayo juu
TIMU ILOKUZUNGUKA INAKU MISLEAD
JANA IKABIDI ULIYOYASEMA KWA MANENO WENYE HEKIMA WAKAYAHARIRI UPYA KWENYE PRESS RELEASE NOTE!
Britanicca
hawezi kujiuzuluHapana bhana,Yeye ndo anaruhusu kila kitu acheni kusingizia watu wasio husika….And if so si Ajiudhuru?!