Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Hangaya hajielewi. Misemo yake tata ndio inasababisha kina Ndugai wamrushie mayai viza.
 
Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..

Hii reference ya Past unatakiwa kujifunza kuiacha. Kwenye makosa.... hakuna si bora huyu kuliko huyu .......

Hatuwezi kusema kufanya kosa ni bora ya huyu kuliko yule. Suala la mwendazake halipo tena , halitokusaidia kitu , yeye alienjoy maisha wakati yupo hai, ameshakufa na wewe pia utakufa na yule na Mimi , tusione Mtu akifa ni kama vile ameadhibiwa, ni ujinga kuwaza hilo maana hata wewe utakufa... ni suala la Muda tu . So tujadili hoja kwa mapana.

Hoja ya msingi ni hiki anachofanya Mama ; Deep down kauli ya ndungai, na kujiuzulu kwake, kuna maelezo mengi nyuma ya pazia.

Tatizo kubwa wa TZ, hatujawahi kupewa uwezo wa kufikiri, lakini , ukimtizama Ndungai, speaks louder than what has been presented in Media.

Ninaamini hili suala halipo sawa, something is being cooked : only time will tell
 
Sawa mkuu, Ndugai kasepa mwenyewe sasa.
Naam He has acted as a Bigger Man..., Kwa Maslahi mapana ya Nchi..., Hapa Taifa ndio limepoteza kuonyesha kwamba ukiwa mbishi / tofauti unapata mashinikizo

Rasmi Bunge ni Rubber Stamp (Sad Times for our Country)
 
Ukitaka kuwa fair jadili hoja ya Ndugai. Ndugai km mtu binafsi na makando kando yake achana naye.

Kwa kauli hiyo ya rais utagundua kwamba bunge ambalo lina mamlaka ya kuisimamia serikali halijui km serikali ilikopa. Na pengine ndiyo hali ilimfanya Ndugai kutamka yale.
 
Labda Ndugai alishtukia hicho kikao ikabidi atoe kauli. Ila kikatiba mambo hayo ni bungeni na si vingenevyo.
 
Wewe ni kenge jike unasubiria kupandwa tuu uzae maana umeelezwa huelewi,majitu kama nyie mwendazake alikuwa anawatia kwenye viroba na kutupwa bahatini.

Serikali imesema mkopo wa Samia ni til 1.3,, hiyo mingine ilitafutwa na kina Mpango enzi za Jiwe,but haikuwa disbursed.

Imeanza kutolewa kipindi cha mama na ilishasainiwa na kubainishwa itakavyotumika sasa sijui wewe mpuuzi unataka nini unless huna Kazi za kufanya..

Mara kadhaa nimeweka humu jukwaani maelezo ya hiyo mikopo lakini huelewi kama nguruwe yuko kwenye period.
Kuwa disbursed awamu ya sita sasa kwanini tuendelee kukopa? Yaani umeshapewa pesa trillion 8.7 halafu bado unakopa tena trillion 1.3, means trillion 10 za mkopo zimekuwa availed kwake ndani ya kioindi cha miezi 9, na bado anaendelea kukopa, mnataka tupigwe mnada?!
 
Kwenye awamu ya 5 nafasi ya hilo bunge ilikuwepo?...
Mna akili tope sana. Kwahiyo awamu ya tano haikuwepo, ya sita isiwepo na kwa hiyo huu ni mfumo ambao unatakiwa kuendelea na hakuna mwenye haki ya kuhoji.

Nafikiri makosa yetu ya jana yawe dira ya kutuongoza kuboresha mustakabadhi wetu wa leo na kesho.
 
Ukitaka kuwa fair jadili hoja ya Ndugai. Ndugai km mtu binafsi na makando kando yake achana naye.

Kwa kauli hiyo ya rais utagundua kwamba bunge ambalo lina mamlaka ya kuisimamia serikali halijui km serikali ilikopa. Na pengine ndiyo hali ilimfanya Ndugai kutamka yale.
 
Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?

Umedakia bila kuelewa

Serikali kwa mkopo huu waliouchukuwa 1.3 Trillion kwa miaka 20 na riba 0% IMF waliwaambia wanaweza kuchukua mkopo kwa masharti hayo hayo zaidi. Lakini waziri akasema kuna mkopo ambao inabidi tuanze kulipa hivi karibuni na sio mkopo mzuri. Maana yake ni mkopo wenye riba mbaya, muda mfupi .... Hivyo alikuwa anaongea na Raisi wachukue huu mkopo wa 0% kwa miaka 20 na kulipa ule mkopo mbaya ambao una riba. Nikukumbushe tu kwamba serikali ya magufuli ilichukuwa mikopo mibaya sana mmoja ni wa riba 8%, miaka 6, $1.5B kujenga treni ya umeme huu ni mfano tu.

Kuna utaratibu wa kuchukuwa mikopo na sio kuita maraza la mawaziri na kupiga kura kuna wataalamu na rating za kimataifa zinafuatwa
 
Hii reference ya Past unatakiwa kujifunza kuiacha. Kwenye makosa.... hakuna si bora huyu kuliko huyu .......

Hatuwezi kusema kufanya kosa ni bora ya huyu kuliko yule. Suala la mwendazake halipo tena , halitokusaidia kitu , yeye alienjoy maisha wakati yupo hai, ameshakufa na wewe pia utakufa na yule na Mimi , tusione Mtu akifa ni kama vile ameadhibiwa, ni ujinga kuwaza hilo maana hata wewe utakufa... ni suala la Muda tu . So tujadili hoja kwa mapana.

Hoja ya msingi ni hiki anachofanya Mama ; Deep down kauli ya ndungai, na kujiuzulu kwake, kuna maelezo mengi nyuma ya pazia.

Tatizo kubwa wa TZ, hatujawahi kupewa uwezo wa kufikiri, lakini , ukimtizama Ndungai, speaks louder than what has been presented in Media.

Ninaamini hili suala halipo sawa, something is being cooked : only time will tell
Punguzeni kelele basi... Get matured.
 
Ilipita bungeni na ikajadiliwa hata Askofu Gwajima amesema leo kwenye press yake. Ni vile tu bunge siyo live. At least mama ni muwazi ukilinganisha na mwendozake
 
Ushatoka chato kufagia kwenye kaburi la yule shetani?

Enzi zake alikuwa alfa na omega haitaji hata mkewe achilia mbali bunge na mawaziri amshauri.

Na maamuzi yake ndo kila kitu.

Muacheni mama afanye apendavyo wanafki wakubwa nyinyi.

Kila kitu lazima kipitishwe na bunge bwashee…

ila kwa mwamba wetu yule hata asingepitisha bungeni ni poa tu…alikuwa ni wakipekee mwanamapinduzi wa kiuchumi…alikuwa na mambo mengi makubwa halafu muda mchache..
 
Kuwa disbursed awamu ya sita sasa kwanini tuendelee kukopa? Yaani umeshapewa pesa trillion 8.7 halafu bado unakopa tena trillion 1.3, means trillion 10 za mkopo zimekuwa availed kwake ndani ya kioindi cha miezi 9, na bado anaendelea kukopa, mnataka tupigwe mnada?!
Wewe ni kima,kwa hiyo mahitaji yameisha au? Na ndio target ya serikali kupata til.10 kwa mikopo kwenye bajeti ya mwaka huu.

Yaani uache mkopo wa riba free eti Kwa vile kuna mikopo ya riba.Kwa taarifa yako tutakopa zaidi mikopo ya hivyo Ili kulipa madeni ya nyuma na kupeleka kwenye miradi.

Usichoelewa hata hiyo til.8.7 ni mikopo ya miradi,kumbe mnafurahia tuu barabara mara mqendokasi hamjui zilikotoka sio?
 
Wewe ni kima,kwa hiyo mahitaji yameisha au? Na ndio target ya serikali kupata til.10 kwa mikopo kwenye bajeti ya mwaka huu.

Yaani uache mkopo wa riba free eti Kwa vile kuna mikopo ya riba.Kwa taarifa yako tutakopa zaidi mikopo ya hivyo Ili kulipa madeni ya nyuma na kupeleka kwenye miradi.

Usichoelewa hata hiyo til.8.7 ni mikopo ya miradi,kumbe mnafurahia tuu barabara mara mqendokasi hamjui zilikotoka sio?
Trillion 10 kwa ajili ya madawati na vinavyofanania? Hahah
 
Naam He has acted as a Bigger Man..., Kwa Maslahi mapana ya Nchi..., Hapa Taifa ndio limepoteza kuonyesha kwamba ukiwa mbishi / tofauti unapata mashinikizo

Rasmi Bunge ni Rubber Stamp (Sad Times for our Country)
Mbowe sio gaidi kubali ama kataa.
 
Ushatoka chato kufagia kwenye kaburi la yule shetani?

Enzi zake alikuwa alfa na omega haitaji hata mkewe achilia mbali bunge na mawaziri amshauri.

Na maamuzi yake ndo kila kitu.

Muacheni mama afanye apendavyo wanafki wakubwa nyinyi.
Kumamayo
 
Back
Top Bottom