Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Sema dunia inabadirika sasa hivi tunaingia kwenye utalii wa teknolojia inabidi taifa tulitambue ilo. Hizi mambo sijui asili asili zinaanza kukosa ushawishi. Hivi kwa nini dubai inavutia watalii wengi na ikiwa haina mbuga ata moja?