Rais Samia Suluhu: Kuna umuhimu wa kuangalia upya Sheria zinazowalinda mashahidi na watoa taarifa

sAWA KIONGOZI YALIYOPIOTA SI NDWELE. lakini kwa walioumizwa ni ndwele.... UNADHANI FAMILIA ZA WALIOFKWA NA MAJANGA HAWATAONA NI NDWELE? Mama ana kazi kubwa ya kurudisha umoja wa kitaifa...
Kwa mujibu wa Mama si kuwa hajui kama hayo unayoyaswma hayapo/hayakuwepo la! Anajua na ndio akaleta hiyo kauli, sasa leo ndio kaanza Speech rasmi,

Na sisi tunatakiwa kujiongeza na kumsaidia japo itamchukua muda kuweka nchi katika utulivu lakini hilo kama tuna NIA njema mbona ni rahisi?
 
Kwa mujibu wa Mama si kuwa hajui kama hayo unayoyaswma hayapo/hayakuwepo la! Anajua na ndio akaleta hiyo kauli, sasa leo ndio kaanza Speech rasmi,

Na sisi tunatakiwa kujiongeza na kumsaidia japo itamchukua muda kuweka nchi katika utulivu lakini hilo kama tuna NIA njema mbona ni rahisi?
Shida wasifiaji mnasifia asa if siku 100 za kawaida kutathmini simefika... Tutulie tu tuone...
 
Hahahahahahahahahahahaha.........
Umeanza kusifia hadi kuvuka mipaka.


Ila hata mimi tangu aondoke kikwete sijawahi kujisikia amani kwenye moyo.
Ila nahisi kujisikia aman sasa.

Kwakweli ni furaha kumsikiliza maana na yeye ni mtu wa kusikiliza na anaheshimu mawazo ya wataalamu.

Mungu amlinde na ampatie afya njema.
 
Habari ndo iyo bwashee.
We ulikua muimba mapambio for so long chief,chini ya carpet kumbe kuna uozo wa kutisha.
Hujui siasa za Bongo wewe,Lowasa,Sumaye mliwaita mafisadi walipokuja CDM walikua malaika watakatifu.walipoondoka mkaimba tena wimbo uleule,na kwa Nyarandu ni hivyo.
 
Yule mtu ni hatari alishajua kakoko anang'olewa tangu jana

Sina hamu naye, jana nilienda kijiweni kwa vijana wa kitaa na nilishangaa sana kwanza kwa wao kumjua kigogo lakini waliniacha hoi pale waliposema wanamwamini zaiidi yeye kuliko mage kimambi na hata akiomba maandamano watamuunga mkono,

Hayo ndio matokeo ya kubinya uhuru wa vyombo vya habari vijana wana smart phone wanatembea mfukoni wakiwa wamebeba habari za dunia, leo hii duniani vijana wanawasiliana free of charge kupitia mtandao wa WhatsApp lakini kuna watu nao wanafikiria eti uwe unalipiwa na kabisa hawaoni kuwa wananunua maadui bila sababu ....akili ni nywele kila mtu ana zake
 
Sawa, nakubaliana pia na wewe, na ukitazama kwa jicho la tatu, utaona kuwa Mama hapendi na hataki mambo ya one man show,
Anataka mfumo ndio utawale na mambo ya kuogopana hapana, bali uwajibikaji na uwajibishwaji

Kifupi hataki mambo ya "nimekuteua, yani kama nimekupa ka zawadi hivyo, nisujudie hapana.
Huyu mama ana hofu ya Mungu
 
Back
Top Bottom