Yaani.Usikufuru uliongea na Mungu?
Kabisa Kuna sifa zingine hadi zinaharibu.Yaani.
Wasije wakasema tu kuwa anafanana Na Mungu.
Wakishaanza kumuita Mungu wajie naye atakufa
Sina tatizo na hilo... Mama kafanya jema, tena sana KWENYE HILI... Na ninasifu pale alipoisema (kama ilivyonukuliwa na wasafi) kwamba watoa taarifa walindwe...
Siku za nyuma, watoa taarifa, na hasa wapinzani, walikuwa wanawindwa haswa..
NimehifadhiKwa jicho la kiroho hii kauli imebeba ujumbe mzito sana ...kuna deep overhaul inakuja...(hifadhi hii reply)
Jimama26..naona unaimba sana mapambio..kila thread ya mama..ww unaimba tuu..time will tell..welcome to the world of women leadershipHuyu Mama jamani ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Ulitakaje? Akikosea tunampiga Spana,akifanya vizuri TunamsifuMmeanza sifa za kijinga
Kigogo hakamatwi kwa pumba.Hii ni mbinu ya kumvuta vuta kigogo
Sifa za kise*#geMmeanza sifa za kijinga
Kigogo atambuliwe kitaifa km mtetezi wa haki na apewe ulinzi.Well said
watanzania tumlinde kwa nguvu zote hakuna raisi kama huyu tangu nchi ipate uhuru
Ushonga ni nini Mkuu???Acha ushonga,tumia akili zako vizuri.