LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Rais sita lakini anahudumu katika serikali ya awamu ya tano...Rais akifariki na serikali inafutika?Ni vema tukihesabu Marais. Hivyo Samia ni Rais wa sita wa nchi hii. Hii ya kuhesabu awamu ni kujichanganya bure.
Kama tukitaka kuhesabu awamu basi tuanze na tafsiri rasmi ya awamu. Awamu ni nini?