Rais Samia Suluhu, fanya haya TRA

Rais Samia Suluhu, fanya haya TRA

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,871
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama nilivyosema hapo awali Mama, mimi kama Mtanzania niliyekuwa nimejitoa kumuunga mkono Magufuli kutokana na Sera na ufedhuli wa Awamu ya Tano na ambaye sasa baada ya kuona uelekeo wako mzuri, nimeamua kukuunga mkono, leo hii napenda nianze kutoa mchango wangu kwako kwa Jinsi ambavyo ninaona Serikali yako itafanya vizuri kwenye mfumo wa kukusanya kodi.

Kwanza kabisa mama, napenda kukuunga mkono katika kutotaka kodi ya dhuluma, kodi yenye machozi na damu za watu ambazo kiuhalisia hazina baraka.
Baada ya kusema haya, naomba niende kwenye mada,

Kwa mtazamo wangu, kutokana na utafiti wangu mdogo, nimegundua Kuna tatizo kubwa sana kwenye mashine za efd. Hizi mashine kuna mda mwingi ukienda kwa wafanyabiashara watakwambia ni either hazifanyi kazi au hazina mtandao.

Katika hili kuna uwezekano kuwa ni kweli hizi mashine huwa zinakuwa na Tatizo la Mtandao na pili Kuna uwezekano pia hawa wafanyabiashara huwa wana tabia ya udanganyifu hivyo kusingizia mashine ili wasilipe kodi halali.

Katika hili naomba serikali yako ifanye haya hili kupata mwarobaini wa Tatizo hili.

1. Naomba serikali yako ianze mchakato wa kutafuta mashine zingine na Bora zaidi ili zitumike kwa wafanyabiashara. Mashine hizo mpya ziwe na uwezo wa kufanya kazi hata Kwa kuwekewa betri au mfumo mbadala wa nishati pale ambapo umeme hautakuwepo, na Pia mashine hizo ziwe na mfumo wa kutumia mitandao yetu ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao na kuhakikisha mtandao unapatikana muda wote, Ziwe zinatumia hata laini za simu za mitandao ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao.

2. Naomba mashine hizi ziunganishwe na mifumo ya mobile money ili kuongeza kiwango cha kodi kinachokusanywa hasa kwa wafanyabiashara ambao wanatumia mfumo wa mobile money kama njia yao ya kupokea malipo. Pia mashine hizi ziunganishe na mifumo ya taarifa ya simu ili kufanikisha utunzaji kumbukumbu wa miamala inayofanyika na kiwango cha kodi kinachotakiwa kukatwa katika mashine husika. Yaani endapo kuna transaction imefanyika katika mashine basi taarifa zitumwe kwenye namba fulani ya simu.

3. Hakuna haja ya mfanyabiashara kununua mashine hizi kwa bei kubwa. Naomba serikali yako iweke utaratibu wa kuzinunua yenyewe hizi mashine na kuzigawa always wafanyabiashara huku wafanyabiashara wakizilipia taratibu katika kipindi fulani. Huu utaratibu unaweza fanywa kama inavyofanywa na mamlaka za maji katika kuwaunganishia maji watu walio karibu na mabomba yanayopitisha maji ambapo watu hawa huwa wanapewa vifaa bure na kuunganishiwa maji bure huku wakilipia taratibu kwenye Bili zao za miezi ya kwanza. Creativity hii inaweza kutumika kwenye mashine za Efd pia.

Mwisho Mama Samia napenda nikupongeze tena kwa Jinsi ulivyoanza, Hili la mashine za Efd naomba wala lisikutie presha na uoga. Duniani huko Kuna makampuni makubwa yenye teknolojia kubwa kutoka nchi za Israël , Marekani, Uingereza na hata China ambazo zinaweza kukupatia hizi mashine zenye hivi viwango ambazo zitaendana na mazingira ya kwetu. Kitachotakuwa tender zitangazwe na watu washindanishwe Kweli.

Naomba kuwasilisha!
 
Kwanini ishindikane? Maana shida tuliyonayo tukishasoma kwa kukariri tunaona kila kitu hakiwezekani. Ndio maana hakuna maajabu yoyote wasomi wanayoleta kwenye hizi nchi zetu
Ukiweza haukatazwi. Kuna makundi mawili, presumptive, na wale wanaondaa vitubu vya hesabu. Kupanga ni kuchagua. Hajakatazwa mtu na hatuna tena muda wa kueleweshana
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania,

Kama nilivyosema hapo awali Mama, mimi kama Mtanzania niliyekuwa nimejitoa kumuunga mkono Magufuli kutokana na Sera na ufedhuli wa Awamu ya Tano na ambaye sasa baada ya kuona uelekeo wako mzuri, nimeamua kukuunga mkono, leo hii napenda nianze kutoa mchango wangu kwako kwa Jinsi ambavyo ninaona Serikali yako itafanya vizuri kwenye mfumo wa kukusanya kodi.

Kwanza kabisa mama , napenda kukuunga mkono katika kutotaka kodi ya dhuluma, kodi yenye machozi na damu za watu ambazo kiuhalisia hazina baraka.
Baada ya kusema haya , naomba niende kwenye mada,

Kwa mtazamo wangu , kutokana na utafiti wangu mdogo, nimegundua Kuna tatizo kubwa sana kwenye mashine za efd. Hizi mashine kuna mda mwingi ukienda kwa wafanyabiashara watakwambia ni either hazifanyi kazi au hazina mtandao.

Katika hili kuna uwezekano kuwa ni kweli hizi mashine huwa zinakuwa na Tatizo la Mtandao na pili Kuna uwezekano pia hawa wafanyabiashara huwa wana tabia ya udanganyifu hivyo kusingizia mashine ili wasilipe kodi halali.

Katika hili naomba serikali yako ifanye haya hili kupata mwarobaini wa Tatizo hili.

1. Naomba serikali yako ianze mchakato wa kutafuta mashine zingine na Bora zaidi ili zitumike kwa wafanyabiashara. Mashine hizo mpya ziwe na uwezo wa kufanya kazi hata Kwa kuwekewa betri au mfumo mbadala wa nishati pale ambapo umeme hautakuwepo, na Pia mashine hizo ziwe na mfumo wa kutumia mitandao yetu ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao na kuhakikisha mtandao unapatikana muda wote, Ziwe zinatumia hata laini za simu za mitandao ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao.

2. Naomba mashine hizi ziunganishwe na mifumo ya mobile money ili kuongeza kiwango cha kodi kinachokusanywa hasa kwa wafanyabiashara ambao wanatumia mfumo wa mobile money kama njia yao ya kupokea malipo. Pia mashine hizi ziunganishe na mifumo ya taarifa ya simu ili kufanikisha utunzaji kumbukumbu wa miamala inayofanyika na kiwango cha kodi kinachotakiwa kukatwa katika mashine husika. Yaani endapo kuna transaction imefanyika katika mashine basi taarifa zitumwe kwenye namba fulani ya simu.

3. Hakuna haja ya mfanyabiashara kununua mashine hizi kwa bei kubwa. Naomba serikali yako iweke utaratibu wa kuzinunua yenyewe hizi mashine na kuzigawa always wafanyabiashara huku wafanyabiashara wakizilipia taratibu katika kipindi fulani. Huu utaratibu unaweza fanywa kama inavyofanywa na mamlaka za maji katika kuwaunganishia maji watu walio karibu na mabomba yanayopitisha maji ambapo watu hawa huwa wanapewa vifaa bure na kuunganishiwa maji bure huku wakilipia taratibu kwenye Bili zao za miezi ya kwanza. Creativity hii inaweza kutumika kwenye mashine za Efd pia.

Mwisho Mama Samia napenda nikupongeze tena kwa Jinsi ulivyoanza, Hili la mashine za Efd naomba wala lisikutie presha na uoga. Duniani huko Kuna makampuni makubwa yenye teknolojia kubwa kutoka nchi za Israël , Marekani, Uingereza na hata China ambazo zinaweza kukupatia hizi mashine zenye hivi viwango ambazo zitaendana na mazingira ya kwetu. Kitachotakuwa tender zitangazwe na watu washindanishwe Kweli.

Naomba kuwasilisha!
Acha kujipendekeza, wewe hujawahi kumuunga mkono hayati JPM hata kwa chembe ya neno au maneno ya sauti. Wewe ni mbegu halisi ya TAL kwa hiyo maelezo yako utangulizi ni batili.

Pili mbinu zote ulizozianisha ziliwahi kufanywa mkawashauri wafanya biashara wazihujumu kwa kushirikiana na maafisa wa TRA wasio waaminifu.

Unapotoa pendekezo sio lazima uanze na sifa za kinzandiki na unafiki kama hizo.
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania,

Kama nilivyosema hapo awali Mama, mimi kama Mtanzania niliyekuwa nimejitoa kumuunga mkono Magufuli kutokana na Sera na ufedhuli wa Awamu ya Tano na ambaye sasa baada ya kuona uelekeo wako mzuri, nimeamua kukuunga mkono, leo hii napenda nianze kutoa mchango wangu kwako kwa Jinsi ambavyo ninaona Serikali yako itafanya vizuri kwenye mfumo wa kukusanya kodi.

Kwanza kabisa mama , napenda kukuunga mkono katika kutotaka kodi ya dhuluma, kodi yenye machozi na damu za watu ambazo kiuhalisia hazina baraka.
Baada ya kusema haya , naomba niende kwenye mada,

Kwa mtazamo wangu , kutokana na utafiti wangu mdogo, nimegundua Kuna tatizo kubwa sana kwenye mashine za efd. Hizi mashine kuna mda mwingi ukienda kwa wafanyabiashara watakwambia ni either hazifanyi kazi au hazina mtandao.

Katika hili kuna uwezekano kuwa ni kweli hizi mashine huwa zinakuwa na Tatizo la Mtandao na pili Kuna uwezekano pia hawa wafanyabiashara huwa wana tabia ya udanganyifu hivyo kusingizia mashine ili wasilipe kodi halali.

Katika hili naomba serikali yako ifanye haya hili kupata mwarobaini wa Tatizo hili.

1. Naomba serikali yako ianze mchakato wa kutafuta mashine zingine na Bora zaidi ili zitumike kwa wafanyabiashara. Mashine hizo mpya ziwe na uwezo wa kufanya kazi hata Kwa kuwekewa betri au mfumo mbadala wa nishati pale ambapo umeme hautakuwepo, na Pia mashine hizo ziwe na mfumo wa kutumia mitandao yetu ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao na kuhakikisha mtandao unapatikana muda wote, Ziwe zinatumia hata laini za simu za mitandao ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao.

2. Naomba mashine hizi ziunganishwe na mifumo ya mobile money ili kuongeza kiwango cha kodi kinachokusanywa hasa kwa wafanyabiashara ambao wanatumia mfumo wa mobile money kama njia yao ya kupokea malipo. Pia mashine hizi ziunganishe na mifumo ya taarifa ya simu ili kufanikisha utunzaji kumbukumbu wa miamala inayofanyika na kiwango cha kodi kinachotakiwa kukatwa katika mashine husika. Yaani endapo kuna transaction imefanyika katika mashine basi taarifa zitumwe kwenye namba fulani ya simu.

3. Hakuna haja ya mfanyabiashara kununua mashine hizi kwa bei kubwa. Naomba serikali yako iweke utaratibu wa kuzinunua yenyewe hizi mashine na kuzigawa always wafanyabiashara huku wafanyabiashara wakizilipia taratibu katika kipindi fulani. Huu utaratibu unaweza fanywa kama inavyofanywa na mamlaka za maji katika kuwaunganishia maji watu walio karibu na mabomba yanayopitisha maji ambapo watu hawa huwa wanapewa vifaa bure na kuunganishiwa maji bure huku wakilipia taratibu kwenye Bili zao za miezi ya kwanza. Creativity hii inaweza kutumika kwenye mashine za Efd pia.

Mwisho Mama Samia napenda nikupongeze tena kwa Jinsi ulivyoanza, Hili la mashine za Efd naomba wala lisikutie presha na uoga. Duniani huko Kuna makampuni makubwa yenye teknolojia kubwa kutoka nchi za Israël , Marekani, Uingereza na hata China ambazo zinaweza kukupatia hizi mashine zenye hivi viwango ambazo zitaendana na mazingira ya kwetu. Kitachotakuwa tender zitangazwe na watu washindanishwe Kweli.

Naomba kuwasilisha!
Muombe Mhe. Rais akuteue use CEO wa TRA
 
Endeleeni kumshauri mama Samiah haya na mengine, Ila ukweli ni kwamba suala la ulipaji kodi na ukusanyaji kwa ufanisi sahau. Sasa hivi Kuna vituo vya mafuta tayari hawatoi tena risiti. Tunarudi kulekule taratibu. Subirini hotuba nyingine yenye maneno matamu matamu mshangilie weee.. lakini niliwahi kusema Africa bila ubabe mambo hayaendi. Kila raia anataka aiibie serikali. Taratibu mtaelewa ninachomaanisha. Muda sio mrefu nchi itakuwa kwenye autopilot, inajiendesha tu kama enzi za mkwere.
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania,

Kama nilivyosema hapo awali Mama, mimi kama Mtanzania niliyekuwa nimejitoa kumuunga mkono Magufuli kutokana na Sera na ufedhuli wa Awamu ya Tano na ambaye sasa baada ya kuona uelekeo wako mzuri, nimeamua kukuunga mkono, leo hii napenda nianze kutoa mchango wangu kwako kwa Jinsi ambavyo ninaona Serikali yako itafanya vizuri kwenye mfumo wa kukusanya kodi.

Kwanza kabisa mama , napenda kukuunga mkono katika kutotaka kodi ya dhuluma, kodi yenye machozi na damu za watu ambazo kiuhalisia hazina baraka.
Baada ya kusema haya , naomba niende kwenye mada,

Kwa mtazamo wangu , kutokana na utafiti wangu mdogo, nimegundua Kuna tatizo kubwa sana kwenye mashine za efd. Hizi mashine kuna mda mwingi ukienda kwa wafanyabiashara watakwambia ni either hazifanyi kazi au hazina mtandao.

Katika hili kuna uwezekano kuwa ni kweli hizi mashine huwa zinakuwa na Tatizo la Mtandao na pili Kuna uwezekano pia hawa wafanyabiashara huwa wana tabia ya udanganyifu hivyo kusingizia mashine ili wasilipe kodi halali.

Katika hili naomba serikali yako ifanye haya hili kupata mwarobaini wa Tatizo hili.

1. Naomba serikali yako ianze mchakato wa kutafuta mashine zingine na Bora zaidi ili zitumike kwa wafanyabiashara. Mashine hizo mpya ziwe na uwezo wa kufanya kazi hata Kwa kuwekewa betri au mfumo mbadala wa nishati pale ambapo umeme hautakuwepo, na Pia mashine hizo ziwe na mfumo wa kutumia mitandao yetu ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao na kuhakikisha mtandao unapatikana muda wote, Ziwe zinatumia hata laini za simu za mitandao ya ndani Kwa ajili ya kupata mtandao.

2. Naomba mashine hizi ziunganishwe na mifumo ya mobile money ili kuongeza kiwango cha kodi kinachokusanywa hasa kwa wafanyabiashara ambao wanatumia mfumo wa mobile money kama njia yao ya kupokea malipo. Pia mashine hizi ziunganishe na mifumo ya taarifa ya simu ili kufanikisha utunzaji kumbukumbu wa miamala inayofanyika na kiwango cha kodi kinachotakiwa kukatwa katika mashine husika. Yaani endapo kuna transaction imefanyika katika mashine basi taarifa zitumwe kwenye namba fulani ya simu.

3. Hakuna haja ya mfanyabiashara kununua mashine hizi kwa bei kubwa. Naomba serikali yako iweke utaratibu wa kuzinunua yenyewe hizi mashine na kuzigawa always wafanyabiashara huku wafanyabiashara wakizilipia taratibu katika kipindi fulani. Huu utaratibu unaweza fanywa kama inavyofanywa na mamlaka za maji katika kuwaunganishia maji watu walio karibu na mabomba yanayopitisha maji ambapo watu hawa huwa wanapewa vifaa bure na kuunganishiwa maji bure huku wakilipia taratibu kwenye Bili zao za miezi ya kwanza. Creativity hii inaweza kutumika kwenye mashine za Efd pia.

Mwisho Mama Samia napenda nikupongeze tena kwa Jinsi ulivyoanza, Hili la mashine za Efd naomba wala lisikutie presha na uoga. Duniani huko Kuna makampuni makubwa yenye teknolojia kubwa kutoka nchi za Israël , Marekani, Uingereza na hata China ambazo zinaweza kukupatia hizi mashine zenye hivi viwango ambazo zitaendana na mazingira ya kwetu. Kitachotakuwa tender zitangazwe na watu washindanishwe Kweli.

Naomba kuwasilisha!
Nchi inahitaji watu kama wewe ambao wanaweza kushauri kwa kusisitiza nini kifanyike.

Nimependa kuona jambo hili kwako sio kama wale watu walioanza kumkatisha Mama tamaa kabla hata ajamaliza miezi 3 madarakani.

Naomba tuishauri serikali tumpe moyo mama sio kumkatisha tamaa wakati bado hatujaona matokeo ya kazi yake.
 
Serikali isimamie Tu tax returns Kwa kila mtu
Hapo wananchi watakabana wenyewe
Malipo yote yawe kwenye either bank au mobile money. Kiasi cha mzungo wa cash kipungue kwenye economy. Halafu tubanane kwenye hizo returns.
Watu wa kodi wanalazimisha 3% ya watanzania kulipa kodi ya the rest 97%. Kazi sana
 
Back
Top Bottom