Unalipa Kodi stahiki kwa biashara hizo?! Au na wewe unatishia kuzihamishia nje ya nchi?Mimi sio Mataga. Sihitaji cheo wala uteuzi. Biashara ninazofanya zinanitosha
Unalipa Kodi stahiki kwa biashara hizo?! Au na wewe unatishia kuzihamishia nje ya nchi?Mimi sio Mataga. Sihitaji cheo wala uteuzi. Biashara ninazofanya zinanitosha
Ninalipa vizuri kabisaUnalipa Kodi stahiki kwa biashara hizo?! Au na wewe unatishia kuzihamishia nje ya nchi?
Kama ni hivyo safiNinalipa vizuri kabisa
Asante kwa kunielewa!Sowa ila ujumbe uwafikie WENYE Tabia za hivyo, tumefika Hapa KWA Tabia za baadhi za watu Kama Hawa samahani Kama sikukuelewa vizuri MKUU,
Tukiweka rates hizo; container ya nguo ya 40ft itaweza kulipiwa 35,000,000 na ya 20ft kama16,000,000 kwa kutumiareal invoice value sio hizi za kulazimishana kuhushi na mwisho wa siku ushuru haukusanywi!Safi sana! Ushauri mzuri
Wazo zuri! Natumai wahusika wameliona na watalifanyia kaziTukiweka rates hizo; container ya nguo ya 40ft itaweza kulipiwa 35,000,000 na ya 20ft kama16,000,000 kwa kutumiareal invoice value sio hizi za kulazimishana kuhushi na mwisho wa siku ushuru haukusanywi!
Hawawezi kuzikubali hizo ratesWazo zuri! Natumai wahusika wameliona na watalifanyia kazi
Naamini wataalam wetu watakuna vichwa na hatimaye kuja na best solution kwenye hili.Hawawezi kuzikubali hizo rates
1Maslahi yao binafsi
2.Rate kubwa zina sura nzuri kukopea peaa kama IMF, WB etc. Japokuwa zinafukuza investments.
Alafu wale upinzani watakuja kusema Nchi imemshindaMuda sio mrefu nchi itakuwa kwenye autopilot, inajiendesha tu kama enzi za mkwere.
Unamaana waafrika tuu wanyama au !!?? Mpaka uamini lazima tusagwe kama wanyama!!?? Futa kauli yakoEndeleeni kumshauri mama Samiah haya na mengine, Ila ukweli ni kwamba suala la ulipaji kodi na ukusanyaji kwa ufanisi sahau. Sasa hivi Kuna vituo vya mafuta tayari hawatoi tena risiti. Tunarudi kulekule taratibu. Subirini hotuba nyingine yenye maneno matamu matamu mshangilie weee.. lakini niliwahi kusema Africa bila ubabe mambo hayaendi. Kila raia anataka aiibie serikali. Taratibu mtaelewa ninachomaanisha. Muda sio mrefu nchi itakuwa kwenye autopilot, inajiendesha tu kama enzi za mkwere.
Tuwaombee wawe waadilifu!Naamini wataalam wetu watakuna vichwa na hatimaye kuja na best solution kwenye hili.