BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Hatuna tulicho pata kati ya mimi nisie na akili na wewe mwenye akiliau wewe usiye na akili umepata nn
Kwahiyo akili zako hazina maana
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hatuna tulicho pata kati ya mimi nisie na akili na wewe mwenye akiliau wewe usiye na akili umepata nn
Rais hawezi fanikiwa kwa kumtakia mema kila siku. Anatakiwa ajitambue badala ya kuwategemea hawa akina Kiwete ambao kila mtu analaani tabia yao. Hao walifanikiwa kuwa viongozi kama laana kwa taifa.Leo nimesikia maneno mazuri kutoka kwako ambayo nilihitaji kutasikia kwa muda mrefu sana, nakushukuru sana sasa naona umeamua kazi kazi
Tafadhali Rais wangu usicheke na kima hapa tutavuna mabua, kwakweli kwakweli niseme wazi upole wako unawafanya watu wakuone dhaifu na kukudharau.
Lakini kimsingi wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu lazima tukuheshimu hiyo ni lazima sio hiyari, hatutaki matabaka sisi ndani ya serikali yetu, kuna watu wanafikra za kijinga sana wakiamini wao hawawezi kuongozwa na mwanamke hawa watu ndio wa kudili nao sasa wakiongozwa na Askofu Kibwetere anakudharau sana.
Kwakweli nilikua naumia sana kuona Rais anadharauliwa hadi na watu kama Polepole ambao hata uwepo wao bungeni ni kwa msaada wa Rais.
Mheshimiwa Rais wakati wa ustaarabu sasa umepita maana sisi unaotuongoza hatujastaarabika
Fukuza wale wote wanaokukwamisha kwa dharau zao na sio kuwafukuza tu fukuza peleka na takukuru na uhamiaji wawachunguze kidogo
Hatuwezi kuwa na Taifa lisilo na nidhamu haiwezekani, mtu kama Gwajima anamtuhumu Rais kuhongwa ili alete chanjo na Rais unakaa kimya?
Naomba Mungu anipe japo moyo kama wa Samia maana Laiti kama mimi ndiye ningekua Rais sijui mpaka sasa Gwajima angekua na hali gani
Sipendi dharau,
Samia ndiye Rais basi anapaswa kuheshimika kama Rais na ieleweke hivyo
Mheshimiwa Rais sisi tuko nyuma yako, kuwa mkali mama, wote unaoona hawaeleweki fukuzia mbali watutolee ujinga wao sisi
Kifuatachi sasa nikudili na nidhamu za watumishi nao wameshaanza dharau, kama hadi mkurugenzi anaiba mabati serikali gani hii sasa
Rais anaenda sherehe meimosi mwanza huku nyuma watu wanajilipa posho za kazi maalumu zisizo na mbele wala nyuma,
Rais Samia narudia tena sasa iwe mkali uwe mkali uwe mkali mara dufu
Una wivu tu jibwa koko wewe!Chifu Hangaya akili yake ndogo sana,maneno mengi zaidi ya vitendo,aende mbugani akakumbatiwe vizuri
Ndio vijana wa ufipa hao wanakutana kijiweni kupiga umbea wa hapa na paleUmekosa hata heshima ya kuandika kwa ustaarabu!!!