Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,013
- 93,763
Una shida gani dada angu?Anhaaa sawa...unayoyajua wewe ni ukasuku wa kuishambulia serikali....
Endelea na "pang'ang'a" zisizo na ushahidi 🤣🤣
Una shida gani dada angu?Anhaaa sawa...unayoyajua wewe ni ukasuku wa kuishambulia serikali....
Endelea na "pang'ang'a" zisizo na ushahidi 🤣🤣
Una shida gani dada angu?
Huyo jamaa alitoka chuo tu kazi yake ya kwanza ikawa Ni ubunge then unaibu Waziri then uwaziri kamili hajawahi kuajiriwa hata sehemu 1.
Limemfanya nimuite Shujaa wa Africa.Je hilo ndilo linamfanya umwite mwizi?
Tulia aunt angu
👍Je hilo ndilo linamfanya umwite mwizi? Umewataja mawaziri wawili hapo; Aweso na Kitilla mkumbo, weka vielelezo kuthibitisha wizi wao.
Yule mwandishi mbona ana cheo kikubwa huko Zanzibar.Au atakua yule mwandishi alieporwa mke mkuu wa ulaya aliyeona mwandishi mzugaji bora awe na waziri
Watu wajinga wote ukiwaambia matatizo yao hukimbilia kuomba ushahidi. Ukiambiwa fulani mwizi, mpuuzi, bwege, n.k. chunguza mwenyewe kwa manufaa yako. Sasa tena unamuuliza aliyekupa taarifa za ujinga wa nduguyo? Kama Aweso ndo anauliza sawa, lakini wewe Samia unatonywa juu ya upuuzi wa mteule wako halafu unaomba tena ushahidi!! Nani akupe? Umemwajili kwa kazi hiyo? Huna uliowaajili kukutafutia ushahidi? FOOOOOL!Weka ushahidi wa madai yako, vinginevyo hoja yako itakuwa ni chuki na wivu vinakusumbua.
Fafanua ni namna gani wanaiba hizo pesa, ni kiasi gani kimeibiwa na ni miradi ipi imeathirika kutokana na wizi au ubadhirivu huo.
Kumchafua mtu pasipokuwa na ushahidi ni kujichumia dhambi ya kumshuhudia mtu mambo ya uongo.
Kama kweli waziri Awesso ni mwizi, weka ushahidi hadharani.
Kwahiyo kama ni majungu unataka Serikali ipoteze muda na raslimali kuchunguza majungu?Watu wajinga wote ukiwaambia matatizo yao hukimbilia kuomba ushahidi. Ukiambiwa fulani mwizi, mpuuzi, bwege, n.k. chunguza mwenyewe kwa manufaa yako. Sasa tena unamuuliza aliyekupa taarifa za ujinga wa nduguyo? Kama Aweso ndo anauliza sawa, lakini wewe Samia unatonywa juu ya upuuzi wa mteule wako halafu unaomba tena ushahidi!! Nani akupe? Umemwajili kwa kazi hiyo? Huna uliowaajili kukutafutia ushahidi? FOOOOOL!
Tunazidiana ujinga.Kwahiyo kama ni majungu unataka Serikali ipoteze muda na raslimali kuchunguza majungu?
Tumia akili za kuzaliwa wewe. Kuna wamejaa fitina, chuki, wivu na uzandiki. Watu hawa wapo tayari kutoa habari au taarifa za uongo ili tu kuwachafua wengine.
Kwa kulitambua hilo ndiyo maana nikasema, kama mleta mada anao ushahidi wa madai yake basi ayaweke hadharani. Lakini kama hana ushahidi basi akae kimya.
Huu ni utaratibu unaotumika kote duniani. Hata ukiwa USA wanakojinasibu kuwa vinara wa freedom of speech, bado ukimtuhumu mtu watakwambia tupe ushahidi wa tuhuma zako.
Mfano mimi nikija nyumbani kwako na kumwambia Mume wako kuwa wewe unagegedwa nje ya ndoa kitu cha kwanza ataniambia nimpe ushahidi wa hizo tuhuma.
Tuache tabia za kuwachafua watu, kuna gharama zake. Mfano ni Musiba, alimchafua sana Membe matokeo yake ni kumlipa mabilioni ya pesa.