robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Waziri Aweso kila siku yuko kwenye kamera na waandishi na yaonekana rais anaamini ni mtendaji mzuri. Kwa tabia za Waziri huyu na watendaji wa wizara hii, tatizo la maji halitakwisha nchi hii. Ifikie hatua miradi yote inayotangazwa, kama haifanyi inavyotakiwa, wahusika wote wafukuzwe kazi.
Aweso alianzia wizara ya maji kama naibu Waziri. Mkumbo akiwa katibu mkuu wa wizara. Kipindi chote walimtumia afisa bonde la Wami-Ruvu makao makuu yakiwa pale Morogoro kama njia ya kupitishia pesa za serikali na kuziiba. Miradi mingi ilipitia huko pamoja na ujenzi kwa bonde hili ambalo ni mashuhuri.
Pesa yote iliwarudia watu hawa pamoja na waziri wao. Sasa Aweso ni waziri kamili. Amejifanya kukosana na afisa bonde la Wami-Ruvu na kumuondoa au kumuhamisha. Yuko wizarani, benchi tu! Sasa aweso ana marafiki wapya na sasa nguvu kubwa iko kwa afisa bonde la Rufiji makao makuu yakiwa Iringa.
Pesa imepelekwa mara nyingi na kurudishwa kwa maafisa wa wizarani bila manufaa kwa wakazi wa bonde hili.
Aweso alianzia wizara ya maji kama naibu Waziri. Mkumbo akiwa katibu mkuu wa wizara. Kipindi chote walimtumia afisa bonde la Wami-Ruvu makao makuu yakiwa pale Morogoro kama njia ya kupitishia pesa za serikali na kuziiba. Miradi mingi ilipitia huko pamoja na ujenzi kwa bonde hili ambalo ni mashuhuri.
Pesa yote iliwarudia watu hawa pamoja na waziri wao. Sasa Aweso ni waziri kamili. Amejifanya kukosana na afisa bonde la Wami-Ruvu na kumuondoa au kumuhamisha. Yuko wizarani, benchi tu! Sasa aweso ana marafiki wapya na sasa nguvu kubwa iko kwa afisa bonde la Rufiji makao makuu yakiwa Iringa.
Pesa imepelekwa mara nyingi na kurudishwa kwa maafisa wa wizarani bila manufaa kwa wakazi wa bonde hili.