Rais Samia ni kiongozi mwenye maono sana

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,187
9,633
Ndugu zangu Jana katika ziara ya Mh Rais wetu inayo endelea huko mkoani Mbeya tumemsikia Rais wetu akisema kuwa serikali unakwenda kujenga vyumba vya madarasa Zaidi ya elfu nane. Kwa ajiri ya wanafunzi wa kidato Cha kwanza hapo mwakani mwezi wa kwanza.

Ndugu zangu huko nyuma tulizoea kuona maneno haya yakitamkwa mwezi wa kumi na mbili ndio heka heka za ujenzi wa madarasa ulikuwa unaanza ambapo Hadi watanzania wakijuwa wanashangaa iweje kazi ianze saizi ya kukimbizana na ujenzi wakati tulikuwa tunajuwa wanafunzi wangapi wanamaliza la Saba, tuliona namna ma-RC na DC wakishindana kushinda site ili kukamilisha Madarasa huku mvua nazo zikinyesha.

Wakati mwingine hata ubora wa madarasa ulikuwa unatoa Shaka kutokanaa na uharaka wa kukimbizana na muda, lakini kwa kuwa Rais Ni kiongozi mwenye maono na dira tayari ameshaliona Hilo na kuliwekea mikakati na Wala hatutaona wanafunzi wakikaa majumbani kusubiri madarasa, maana tayari Rais wetu ameshaweka mikakati ya ujenzi wa madarasa mapema kabisa.

Rai yangu ni kwa wasaidizi wake hasa ma Rc, DC, Ras, Das, Ded na madiwani kusimamia ipasavyo kazi hii na kushirikiana vyema katika maeneo yao bila mivutano na migogoro itakayorudisha nyuma juhudi za Mh Rais wetu kipenzi cha Watanzania.

Asante Rais, Kazi iendeleee
 
Ndugu zangu Jana katika ziara ya mh Rais wetu inayo endelea huko mkoani mbeya tumemsikia Rais wetu akisema kuwa serikari unakwenda kujenga vyumba vya madarasa Zaid ya elfu nane, kwa ajiri ya wanafunzi wa kidato Cha kwanza hapo mwakani mwezi wa kwanza, ndugu zangu huko nyuma tulizoea kuona maneno haya yakitamkwa mwezi wa kumi na mbili ndio hela heka za ujenzi wa madarasa ulikuwa unaanza ambapo Hadi watanzania wakijuwa wanashangaa iweje kazi ianze saiz ya kukimbizana na ujenzi wakati tulikuwa tunajuwa wanafunzi wangapi wanamaliza la Saba, tuliona namna ma Rc na DC wakishindana kushinda site ili kukamilisha Madara huku mvua nazo zikinyesha, wakati mwingine hata ubora wa madarasa ulikuwa unatoa Shaka kutokanaa na uharaka wa kukimbizana na muda, lakini kwa kuwa Mh Rais Ni kiongozi mwenye maono na dira tayari ameshaliona Hilo na kuliwekea mikakati na Wala hatutaona wanafunzi wakikaa majumbani kusubiri madarasa, maana tayari Rais wetu ameshaweka mikakati ya ujenzi wa madarasa mapema kabisa, Rai yangu Ni kwa wasaidizi wake hasa ma Rc, DC, Ras,Das, Ded na madiwani kusimamia ipasavyo kazi hii na kushirikiana vyema katika maeneo yao bila mivutano na migogoro itakayorudisha nyuma juhudi za mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania,Asante mh Rais, Kazi iendeleee
Huyu ndio Rais atakayeacha alama kwenye maisha ya watu wengi hapa Tanzania..

Na Mungu hajamuweka hapo kwa bahati mbaya..

Nasubiria kwa hamu Sana kuona mapinduzi ya kijani na Utalii wa Tanzania..

Achana na mambo ya kuona mapinduzi ya Elimu na kufuta shida ya Maji Tanzania hayo naona ni mambo madogo kwangu..

Takwimu huwa hazidanganyi 👇
Screenshot_20220806-185133.png
Screenshot_20220806-185203.png
Screenshot_20220806-184920.png
Screenshot_20220806-185052.png
 
Huyu ndio Rais atakayeacha alama kwenye maisha ya watu wengi hapa Tanzania..

Na Mungu hajamuweka hapo kwa bahati mbaya..

Nasubiria kwa hamu Sana kuona mapinduzi ya kijani na Utalii wa Tanzania..

Achana na mambo ya kuona mapinduzi ya Elimu na kufuta shida ya Maji Tanzania hayo naona ni mambo madogo kwangu..

Takwimu huwa hazidanganyi 👇
Hakika mh Samia suluhu Hassan Ni mchapa kazi Sanaa, itafika muda watanzania wote watakubali utendaji wake wa kazi, Ni Rais mtilivu,mwenye busara na hekima, Atoaye faraja na matumaini katika uongozi wake, Jana mihemuko Wala ukakasi katika kauli zake, Mama samiaa Ni kiongozi muongoza njia, Ni kiongozi mwenye muelekeo, Ni kiongozi mwenye ushawishii, Ni kiongozi asiye na makuu, Ni kiongozi mwenye kuheshimu mchango wa kila mtu katika ujenzi wa Taifa, Ni kiongozi mwenye dhamira ya dhati katika kuona watanzania tunainuka kiuchumi na kusonga mbelee,Namkaribisha Sana mkoani songwe wilayani mbozi katika kata ya mlowo
 
Hakika mh Samia suluhu Hassan Ni mchapa kazi Sanaa, itafika muda watanzania wote watakubali utendaji wake wa kazi, Ni Rais mtilivu,mwenye busara na hekima, Atoaye faraja na matumaini katika uongozi wake, Jana mihemuko Wala ukakasi katika kauli zake, Mama samiaa Ni kiongozi muongoza njia, Ni kiongozi mwenye muelekeo, Ni kiongozi mwenye ushawishii, Ni kiongozi asiye na makuu, Ni kiongozi mwenye kuheshimu mchango wa kila mtu katika ujenzi wa Taifa, Ni kiongozi mwenye dhamira ya dhati katika kuona watanzania tunainuka kiuchumi na kusonga mbelee,Namkaribisha Sana mkoani songwe wilayani mbozi katika kata ya mlowo
Ni wenge tuu linawasumbua.Hakuna sekta hata moja ambayo imesimama kama huko nyuma kwa waliokuwa wanaleta visingizio vya kijinga..

Hakuna kitu anafanya Nje ya bajeti hakuna Wala maigizo ya kijinga..

Kila mkoa wa Nchi hii saizi uko moto 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220806-165615.png
    Screenshot_20220806-165615.png
    168.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220806-184815.png
    Screenshot_20220806-184815.png
    134.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220805-093409.png
    Screenshot_20220805-093409.png
    279.6 KB · Views: 4
Hakika mh Samia suluhu Hassan Ni mchapa kazi Sanaa, itafika muda watanzania wote watakubali utendaji wake wa kazi, Ni Rais mtilivu,mwenye busara na hekima, Atoaye faraja na matumaini katika uongozi wake, Jana mihemuko Wala ukakasi katika kauli zake, Mama samiaa Ni kiongozi muongoza njia, Ni kiongozi mwenye muelekeo, Ni kiongozi mwenye ushawishii, Ni kiongozi asiye na makuu, Ni kiongozi mwenye kuheshimu mchango wa kila mtu katika ujenzi wa Taifa, Ni kiongozi mwenye dhamira ya dhati katika kuona watanzania tunainuka kiuchumi na kusonga mbelee,Namkaribisha Sana mkoani songwe wilayani mbozi katika kata ya mlowo

Ww ndio umepewa hela jana ya kumpamba mama nini? Yaani hujaongea jipya kabisa. Hata Iddy Amini alikuwa na watu wake wa kumpamba kama ww unavyompamba huyu mama.
 
Yeye kama yeye Rais Samia ana maono ila tatizo kubwa yupo compromised by 100%. Na hili tatizo lilianzia mwa Mwinyi, Mkapa akalikwepa, alivyokuja Kikwete akawa compromised by 200% na alivyokuja Dkt Magufuli akaepuka, ila ndiyo hivyo kikundi kilichomcompromise Kikwete kikaona kimepoteza na kikatafuta mbinu na kikajua kabida akifa Dkt Magufuli basi anayefuata ni Rais Samia hivyo kikaanza kumuandaa mapema kabisa kwa ku compromise (inasemekana ndiye alikuwa anapeleka habari kwa kigogo, na mangi zile za ikulu), na baada ya kumuua Dkt Magufuli, basi kawa rais ila wanajua alivyomfitini Dkt Magufuli na serikali ambapo ni kinyume na kiapo na maadili na lazima hicho kikundi kumtumie kitakavyo. Hivyo Rais Samia hana jinsi hat kidogo, na hii mbinu inatumika sana nchi zetu za ki africa. Suluhisho huwa ni kuhakikisha wale ambao wapo compromised hawapewi nafasi kubwa serikalini, lakini hapa nchi zetu ni tofauti, unakuta mtu kama Makamba eti waziri wakati yupo compromised kinoma au Nape ambaye alikula rushwa na mil 800 sakata la cloud halafu eti waziri wa habari, na hiyo ndiyo serikali ya Mama Samia.
 
Ww ndio umepewa hela jana ya kumpamba mama nini? Yaani hujaongea jipya kabisa. Hata Iddy Amini alikuwa na watu wake wa kumpamba kama ww unavyompamba huyu mama.
Simpambi Ila kazi zake zinampamba Sana pasipo hata kukupa watu wakumpamba, nisipompongeza Mimi bado watanzania wengi watasimamia kumpongeza, wanafunzi wanaokwenda kupata elimu bure kidato Cha sita watasimamia kumpongeza, wazazi watampongeza tu kwa kupunguziwa adha ya kukupa Ada kidato Cha tano na sita watampongeza tu hata kana tutasema tukae kimya, wakulima ambao Sasa wanauza mazao yao kwa Bei nzuri watampongeza tu, wafanya biashara za mahotel ya kutalii watampongeza tu kwa mafuriko ya watalii wanaendelea kufurika hapa nchini
 
Yeye kama yeye Rais Samia ana maono ila tatizo kubwa yupo compromised by 100%. Na hili tatizo lilianzia mwa Mwinyi, Mkapa akalikwepa, alivyokuja Kikwete akawa compromised by 200% na alivyokuja Dkt Magufuli akaepuka, ila ndiyo hivyo kikundi kilichomcompromise Kikwete kikaona kimepoteza na kikatafuta mbinu na kikajua kabida akifa Dkt Magufuli basi anayefuata ni Rais Samia hivyo kikaanza kumuandaa mapema kabisa kwa ku compromise (inasemekana ndiye alikuwa anapeleka habari kwa kigogo, na mangi zile za ikulu), na baada ya kumuua Dkt Magufuli, basi kawa rais ila wanajua alivyomfitini Dkt Magufuli na serikali ambapo ni kinyume na kiapo na maadili na lazima hicho kikundi kumtumie kitakavyo. Hivyo Rais Samia hana jinsi hat kidogo, na hii mbinu inatumika sana nchi zetu za ki africa. Suluhisho huwa ni kuhakikisha wale ambao wapo compromised hawapewi nafasi kubwa serikalini, lakini hapa nchi zetu ni tofauti, unakuta mtu kama Makamba eti waziri wakati yupo compromised kinoma au Nape ambaye alikula rushwa na mil 800 sakata la cloud halafu eti waziri wa habari, na hiyo ndiyo serikali ya Mama Samia.
Sizani Kama unaweza ukathibitisha hizi tuhuma zako hapa ukiambiwa utoe ushahidi
 
Sizani Kama unaweza ukathibitisha hizi tuhuma zako hapa ukiambiwa utoe ushahidi
Ukiwa na potential ya kuwa kiongozi magenge ya uharifu lazima yakutafute ili kuku compromise ili utumike baadaye. Ukikuta kiongozi hatatui shida za wananchi walio wengi huyo yupo compromised na hayo mambo yapo
 
Ndugu zangu Jana katika ziara ya mh Rais wetu inayo endelea huko mkoani mbeya tumemsikia Rais wetu akisema kuwa serikari unakwenda kujenga vyumba vya madarasa Zaid ya elfu nane, kwa ajiri ya wanafunzi wa kidato Cha kwanza hapo mwakani mwezi wa kwanza, ndugu zangu huko nyuma tulizoea kuona maneno haya yakitamkwa mwezi wa kumi na mbili ndio hela heka za ujenzi wa madarasa ulikuwa unaanza ambapo Hadi watanzania wakijuwa wanashangaa iweje kazi ianze saiz ya kukimbizana na ujenzi wakati tulikuwa tunajuwa wanafunzi wangapi wanamaliza la Saba, tuliona namna ma Rc na DC wakishindana kushinda site ili kukamilisha Madara huku mvua nazo zikinyesha, wakati mwingine hata ubora wa madarasa ulikuwa unatoa Shaka kutokanaa na uharaka wa kukimbizana na muda, lakini kwa kuwa Mh Rais Ni kiongozi mwenye maono na dira tayari ameshaliona Hilo na kuliwekea mikakati na Wala hatutaona wanafunzi wakikaa majumbani kusubiri madarasa, maana tayari Rais wetu ameshaweka mikakati ya ujenzi wa madarasa mapema kabisa, Rai yangu Ni kwa wasaidizi wake hasa ma Rc, DC, Ras,Das, Ded na madiwani kusimamia ipasavyo kazi hii na kushirikiana vyema katika maeneo yao bila mivutano na migogoro itakayorudisha nyuma juhudi za mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania,Asante mh Rais, Kazi iendeleee
unatumia kilevi?
 
Ww ndio umepewa hela jana ya kumpamba mama nini? Yaani hujaongea jipya kabisa. Hata Iddy Amini alikuwa na watu wake wa kumpamba kama ww unavyompamba huyu mama.
Watu kama nyinyi huwa hamkosekani. Ndo maana hata mw/kiti wenu kuna kipindi alijitokeza kuwafunga speed gavana. Ila ndo hivyo akili na mawazo vimeshachakalia ufipa kwa hiyo ni ngumu kurudia katika upya wake wa kuelewa kile kinachofanyika nje ya chama chenu pendwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-082514_1.jpg
    Screenshot_20220605-082514_1.jpg
    159.8 KB · Views: 3
Kwan kuna rais TOKA ccm hajawai kuwa na maono, mnasifia mpaka aibu
Ndugu zangu Jana katika ziara ya mh Rais wetu inayo endelea huko mkoani mbeya tumemsikia Rais wetu akisema kuwa serikari unakwenda kujenga vyumba vya madarasa Zaid ya elfu nane, kwa ajiri ya wanafunzi wa kidato Cha kwanza hapo mwakani mwezi wa kwanza, ndugu zangu huko nyuma tulizoea kuona maneno haya yakitamkwa mwezi wa kumi na mbili ndio hela heka za ujenzi wa madarasa ulikuwa unaanza ambapo Hadi watanzania wakijuwa wanashangaa iweje kazi ianze saiz ya kukimbizana na ujenzi wakati tulikuwa tunajuwa wanafunzi wangapi wanamaliza la Saba, tuliona namna ma Rc na DC wakishindana kushinda site ili kukamilisha Madara huku mvua nazo zikinyesha, wakati mwingine hata ubora wa madarasa ulikuwa unatoa Shaka kutokanaa na uharaka wa kukimbizana na muda, lakini kwa kuwa Mh Rais Ni kiongozi mwenye maono na dira tayari ameshaliona Hilo na kuliwekea mikakati na Wala hatutaona wanafunzi wakikaa majumbani kusubiri madarasa, maana tayari Rais wetu ameshaweka mikakati ya ujenzi wa madarasa mapema kabisa, Rai yangu Ni kwa wasaidizi wake hasa ma Rc, DC, Ras,Das, Ded na madiwani kusimamia ipasavyo kazi hii na kushirikiana vyema katika maeneo yao bila mivutano na migogoro itakayorudisha nyuma juhudi za mh Rais wetu kipenzi Cha watanzania,Asante mh Rais, Kazi iendeleee
 
Back
Top Bottom