nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Kabla ya Rais mama hajagusa teuzi wapo baadhi yetu humu walileta nyuzi kutaka watu tuone katika viongozi wanaofaa kuteuliwa na Mama yetu (watakaomfaa)
Jina Mwigulu halikukosa kwa kila uzi ulitaka watu wawataje wasiofaa.
Ghafla mama kamteua, kelele nyingi zikapigwa mitandaoni kuwa mama amekosea.
Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.
Hana tofauti na waliomsurubisha Yesu, walimbebesha limsalaba zito huku wakimcheka.
Leo tunaona watu wanalalamikia maamuzi na kauli za Mwigulu.
MY TAKE:
KATIKA MAWAZIRI WATAKAOMUHARIBIA RAIS WETU NO1 MWIGULU HATUFAI, ANA ROHO YA MWENDAZAKE
Jina Mwigulu halikukosa kwa kila uzi ulitaka watu wawataje wasiofaa.
Ghafla mama kamteua, kelele nyingi zikapigwa mitandaoni kuwa mama amekosea.
Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.
Hana tofauti na waliomsurubisha Yesu, walimbebesha limsalaba zito huku wakimcheka.
Leo tunaona watu wanalalamikia maamuzi na kauli za Mwigulu.
MY TAKE:
KATIKA MAWAZIRI WATAKAOMUHARIBIA RAIS WETU NO1 MWIGULU HATUFAI, ANA ROHO YA MWENDAZAKE