Rais Samia, Mwigulu hakufai. Watanzania wanamjua Kiongozi anayefaa

Hivi wewe unachuki gani na Magufuli? Unawezaje kumtofautisha Magufuli na Mh. Samia ambaye ndiye alikuwa mshauri wake wa karibu ambapo kila kitu walipanga na kusimamia pamoja? Unafiki huu ni gharama kubwa sana. Unataka achague wataalam kwa maneno ya Insta, maneno yanayoandikwa na watu wasio na uelewa hata wa maisha yao wenyewe? You are not Serious.

Kama una kampeni zako, zifanye bila kumshirkikisha Mh. Magufli ambaye amekuwa rais wa pekee na mwenye kuona mbali na ambaye dunia nzima wana mtamani.

Ni rais agani katika waliotangulia ambaye alifanya mambo makubwa na kurejesha heshima ya Serikali kwa muda mfupi namna hii hata katika tawala zao za miaka kumi kumi? Kama kuna matatizo ya wawtendaji wake, please ujue kwamba alijitahidi kudhibiti mengi. Na hata hivyo, upungufu wake usifute mema makubwa na zaidi ya nia yake safi aliyokuwa nayo kwa taifa. Ni kichaa pekee ndiye atamlinganisha Magufuli na Awamu ya nne.
Mataga bana
 
Kabla ya Rais mama hajagusa teuzi wapo baadhi yetu humu walileta nyuzi kutaka watu tuone katika viongozi wanaofaa kuteuliwa na Mama yetu (watakaomfaa)

Jina Mwigulu halikukosa kwa kila uzi ulitaka watu wawataje wasiofaa.

Ghafla mama kamteua, kelele nyingi zikapigwa mitandaoni kuwa mama amekosea.

Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.

Hana tofauti na waliomsurubisha Yesu, walimbebesha limsalaba zito huku wakimcheka.

Leo tunaona watu wanalalamikia maamuzi na kauli za Mwigulu.

MY TAKE:
KATIKA MAWAZIRI WATAKAOMUHARIBIA RAIS WETU NO1 MWIGULU HATUFAI, ANA ROHO YA MWENDAZAKE
Acha wivu....ati Mwiguru mjivuni, nani asiyejua Mwigiru ni mtu mkarimu na anasaidia wasiojiweza? Unajua Mwiguru kuwa anawalea na kuwasomesha watoto wengi sana wakati wewe hata sadaka Kanisani hutoi?
 
Hiyo Wizara inataka Mtu makini wa caliba ya Mussa Assad sio huyo Kada.
Si mumchukue ninyi Chadema asimamie ruzuku zenu vizuri? JPM aliishasema hataki watu ambao wakipewa madaraka nao wanajifanya "Mihimili". Assad is a bygone.
 
Kama kweli kuna mtu mwingine mhuvi mbobezi wa uchumi karne hii basi apewe huyo Mwigulu no hapana alikuwa royal utawala usio sheria
 
Si mumchukue ninyi Chadema asimamie ruzuku zenu vizuri? JPM aliishasema hataki watu ambao wakipewa madaraka nao wanajifanya "Mihimili". Assad is a bygone.
Kwa sababu aliivua Suruwali Serikali ya Mwendazake ndio umeteneza bifu?
 
Mwigulu yupo vizuri tatizo lake huko nyuma ilizidisha siasa lakini pia huwezi mlaumu manake mfumo wa nchi yetu uko hivo.mimi namwombea azidi kuwa Bora kwenye utendaji wake .Anajutuma Sana.Tumtakie kila la heri.
 
Hivi wewe unachuki gani na Magufuli? Unawezaje kumtofautisha Magufuli na Mh. Samia ambaye ndiye alikuwa mshauri wake wa karibu ambapo kila kitu walipanga na kusimamia pamoja? Unafiki huu ni gharama kubwa sana. Unataka achague wataalam kwa maneno ya Insta, maneno yanayoandikwa na watu wasio na uelewa hata wa maisha yao wenyewe? You are not Serious.

Kama una kampeni zako, zifanye bila kumshirkikisha Mh. Magufli ambaye amekuwa rais wa pekee na mwenye kuona mbali na ambaye dunia nzima wana mtamani.

Ni rais agani katika waliotangulia ambaye alifanya mambo makubwa na kurejesha heshima ya Serikali kwa muda mfupi namna hii hata katika tawala zao za miaka kumi kumi? Kama kuna matatizo ya wawtendaji wake, please ujue kwamba alijitahidi kudhibiti mengi. Na hata hivyo, upungufu wake usifute mema makubwa na zaidi ya nia yake safi aliyokuwa nayo kwa taifa. Ni kichaa pekee ndiye atamlinganisha Magufuli na Awamu ya nne.
Hakuwa na lolote, bali mbinafsi na mpenda sifa kwa gharama maisha ya watu.

Mungu fundi
 
jisemee mwenyw
Hivi wewe unachuki gani na Magufuli? Unawezaje kumtofautisha Magufuli na Mh. Samia ambaye ndiye alikuwa mshauri wake wa karibu ambapo kila kitu walipanga na kusimamia pamoja? Unafiki huu ni gharama kubwa sana. Unataka achague wataalam kwa maneno ya Insta, maneno yanayoandikwa na watu wasio na uelewa hata wa maisha yao wenyewe? You are not Serious.

Kama una kampeni zako, zifanye bila kumshirkikisha Mh. Magufli ambaye amekuwa rais wa pekee na mwenye kuona mbali na ambaye dunia nzima wana mtamani.

Ni rais agani katika waliotangulia ambaye alifanya mambo makubwa na kurejesha heshima ya Serikali kwa muda mfupi namna hii hata katika tawala zao za miaka kumi kumi? Kama kuna matatizo ya wawtendaji wake, please ujue kwamba alijitahidi kudhibiti mengi. Na hata hivyo, upungufu wake usifute mema makubwa na zaidi ya nia yake safi aliyokuwa nayo kwa taifa. Ni kichaa pekee ndiye atamlinganisha Magufuli na Awamu ya nne.
 
Kabla ya Rais mama hajagusa teuzi wapo baadhi yetu humu walileta nyuzi kutaka watu tuone katika viongozi wanaofaa kuteuliwa na Mama yetu (watakaomfaa)

Jina Mwigulu halikukosa kwa kila uzi ulitaka watu wawataje wasiofaa.

Ghafla mama kamteua, kelele nyingi zikapigwa mitandaoni kuwa mama amekosea.

Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.

Hana tofauti na waliomsurubisha Yesu, walimbebesha limsalaba zito huku wakimcheka.

Leo tunaona watu wanalalamikia maamuzi na kauli za Mwigulu.

MY TAKE:
KATIKA MAWAZIRI WATAKAOMUHARIBIA RAIS WETU NO1 MWIGULU HATUFAI, ANA ROHO YA MWENDAZAKE
Mama hapo kakosea sana kumwachia Mwingulu Nchemba kwenye Baraza lake la Mawaziri hasa hasa Wizara nyeti ya fedha hata kama ni mtaalam wa mahesabu Mwigulu ni jipu.
 
Hahahhahaa...! Mwacheni kwanza avute muda kidogo jamani, muda wa kuwa hajaharibu bado
Avute muda wakati anapendekeza watanzania wapate shida ya mawasiliano? Hii kodi ya mawasiliano haijawahi tokea tangu 1961 na mbaya kuliko hiyo kodi tunayolipa inachotwa hovyo na watumishi wa wizara take
.Wakati wa pilikapilika za ugonjwa wa Rais wa awamu ya 5 zilichotwa nyingi mpaka Rais wa awamu ya 6 akaamuru ukaguzi wa dharura hazina ingawa hatukupewa mrejesho ,badala ya kuwa makini kwa yaliyotokea baada tu ya kuapishwa kazi ya kuchota tena kodi yetu hazina ikaendelea mpaka PM kaitisha kikao.
 
Kabla ya Rais mama hajagusa teuzi wapo baadhi yetu humu walileta nyuzi kutaka watu tuone katika viongozi wanaofaa kuteuliwa na Mama yetu (watakaomfaa)

Jina Mwigulu halikukosa kwa kila uzi ulitaka watu wawataje wasiofaa.

Ghafla mama kamteua, kelele nyingi zikapigwa mitandaoni kuwa mama amekosea.

Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.

Hana tofauti na waliomsurubisha Yesu, walimbebesha limsalaba zito huku wakimcheka.

Leo tunaona watu wanalalamikia maamuzi na kauli za Mwigulu.

MY TAKE:
KATIKA MAWAZIRI WATAKAOMUHARIBIA RAIS WETU NO1 MWIGULU HATUFAI, ANA ROHO YA MWENDAZAKE
Kosa kubwa la Mwigulu no ujivuni, kutojali maisha ya watu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
No.. No! Ukifuatilia kwa makini mawaziri wanasiasa ndio wanafanya vizuri.. Fuatilia tangu tumepata uhuru. Prof. Mussa Assad yupo vizuri lakini sio kwenye position ya uwaziri.
Wanasiasa ni waongo waongo sana,labda useme kwenye sector ya kupika data za uongo hapo sawa
 
Back
Top Bottom