macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,791
- 39,584
Mkuu mtanzania kucheza na akili yake ni rahisi sana. Si ajabu ukakuta vijana wengi kabisa wakisifia ujinga kama huu. Tatizo la vijana wa Tanzania siyo vyeo, iwe u-DC au u-RC. Kwanza hizo nafasi ni chache mno na zitachukuliwa na wapiga domo wa chama ''twawala''. Je mamilioni yaliyobaki yatafaidika? Huyu mama anaanza kuchemka mapema kweli kweli.Isitoshe hili ni dili la UVCCM tu. Nashangaa watu wamefurahi kweli kweli. UVCCM wenyewe hawa wengi pasua kichwa tu!