Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Anatakiwa kupumzishwa ASAP la sivyo atakuja kuleta sintofahamu kubwa zaidi siku za mbeleniHivi huyu ni Rais wa nchi ama mwanaharakati wa kijinsia?
Kutwaa yeye na ujinsia tu! Mara jinsia yangu ya kike sijui nini! Leo tena kaibukia kanisani kuendeleza uanaharakati! Kheeeee!!!!!!!