Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Sawa misogynist 🤣Acha kutetea ujinga wewe.
Sawa misogynist 🤣Acha kutetea ujinga wewe.
Mwanamume ni kichwa cha mwanamke.Mama atulie. Swala la usawa aachane nalo. Achape kazi.
Mwanaume ni kichwa cha mwanamke. This is an eternal truth, & will never change!!!!
YESU NI BWANA NA MWOKOZI.
😅😅😅😅😅😅 mwanamke hujifanya mwamba kote ila linapokuja swala la hela mpira anamtupia mwanaume na kujidai hilo ni jukumu la kiume. “Mwanaume ndio anatakiwa ku provide” hata biblia imesema atakula kwa jasho.Ahaaa! kumbe mtoto ni wa mama, mbona mnasumbua sana kudai pesa ya matumizi ya mtoto hadi kupelekana kwenye vyombo vya sheria...
Wanawake hudai haki sawa ila swala la hela linapogonga hodi hugeukia maandiko fasta na kujidai “iliandikwa mwanaume atakula kwa jasho” so unatakiwa unihudumie 😅 mbuzi sanaWanawake wa kisasa bwana, Wanataka Haki pasipo kuwajibika. Ila wanasahau ili upate haki stahiki unatakiwa utekeleze majukumu husika.
Wanawake wanataka benefits za kiume ambazo wanaume wanazipata kama haki yao ya kuwa wanaume na kutekeleza majukumu ya kiume.
Ila wakiambiwa sasa kama mnataka haki sawa na wanaume na ninyi sasa ni wakati wa kubeba majukumu ya wanaume bila kutafuta kusifiwa wanala msaada wa mwanaume wala wanawake wenzako wanaanza kulalamika kuwa hawatendewi haki.... haki gani sasa hizo mbuzi nyie lakini?!
Nimemskiliza Maza... Kwa kweli anaelekea kuzidi na hii issue yake ya Gender equality. Kwa Sasa anajaribu kuwaaminisha Watanzania kuwa wanawake walikuwa hawapati appointments kwa sababu gender.Its exhausting honestly..
Mjini humu kuna mwanamke kanyimwa kufanya nini kisa jinsia yake.?
Kuna usawa kwenye mengine yote
Ila sio Ndoa..na kazi ngumu...
Duuuh
Mkuu samahani sana kukuona wewe kuwa ni mtu mwenye mfumo dume na "misogynist"......
Yawezekana wengi tulitamani kupata kiongozi wa juu mwanamke, lakini sio wa aina hii, sio huyu wa kuongelea ukike kila sehemu as if ndio agenda ya nchi.
Anataka kuonesha nje ya ukike hatuna kitu kingine chochote cha kuonesha na kunadi, hopeless.
Halafu kuna kubebana kikike kumejaa, Mtu kama Dorothy Alitakiwa aondolewe ila hajaondolewa sababu itaonekana anakandamiza wa kike wenzake, Doro sio bora zaidi ya wale akina Medadi ila ndio hivyo amebaki. Wanawake tusipotaka fair ground hatutakaa tuendelee. Mpe mtu fair ground apambane sio kumbeba kwa ukike wake.
Na mwanamke awamu hii ukijaribu kukosoa unaambiwa unawaonea wivu wanawake wenzio, kazi tunayo.
Umeongea ukweli mtupu mkuuKwenye dini tumeelezwa Adam alipolala usingizi ubavu wake ulitumika kutengeneza mwanamke....
ambapo Adam alishaahidiwa msaidizi.....
kwa hivyo cheo cha mwanamke kinakomea kwenye usaidizi tu......
samahani kwa kuwakwaza nimerejea kwenye bible
Usijidai sana Mama sisi wenyewe tuna majukumu mazito tumebeba p...mbu tangu utotoni na hatuchoki ila nyie mimba miez 9 tu leo unatusimanga tu jamani ?
Umeongea kizembe sanaMwanamume mwenye KUJIAMINI na MWENYE FIKRA pana anatishwaje na uwepo wa nguvu za mwanamke?!!!
Anatishwaje na nguvu kubwa alizonazo mwanamke kuliko yeye?!!!
Nadhani Wataalamu wa saikolojia waende mbali kutujuza hizi "inferiority complexes" kwa mapana yake.....
I am an ALPHA MALE on my own definition....doesn't necessarily concur with the world's explaination.....
Being an alpha male I am in strong bond with NATURE....why should I worry other human beings whether a woman or a man?!!!Khaaa 😲😲😲 🤣🤣🤣
Binaadamu ukiitambua vyema thamani yako....ukivitambua vyema vipawa vyako na "kumaizi" MAPUNGUFU yako binafsi basi UTAVITHAMINI NA KUVIHESHIMU VIPAWA VYA WENGINE NA MAPUNGUFU YAO PIA......
Kwa hili ninamuunga mkono mh.Rais SSH....💪💪
#AgainstMisogyn
#AgainstAllFormsOfHatred
#AgainstAllFormsOfRacism
#AgainstAllFormsOfBigotry
NOTHING TO FEAR BUT FEAR ITSELF -Franklin D . Roosevelt
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#AdamuNaHawa
YETZER HA-TOV
Sawa mkuu 👍Umeongea kizembe sana
hahahahaha kmmmmkhugeukia maandiko fasta na kujidai “iliandikwa mwanaume atakula kwa jasho” so unatakiwa unihudumie 😅 mbuzi sana
Samia badala ya kuwaongoza watanzania amegeuka kuwa mwanaharakati wa haki za wanawake. Yaani mambo ya hovyoooMama atulie. Swala la usawa aachane nalo. Achape kazi.
Mwanaume ni kichwa cha mwanamke. This is an eternal truth, & will never change!!!!
YESU NI BWANA NA MWOKOZI.