Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Sema mi namkubali sana huyu Mama maana anaishi maisha yake tofauti na wamama wengi na mawigi kama kina Jenista.........Mumewe pia Prof Mukangara kama mtu kasoma UDSM na kasoma course yake ya International Relations,anafundisha wanafunzi kufaulu na kumuelewa na si kukomoana
 
Bado mshamba Sana Usukaji gani huo!
 
Maisha ya kutegemea teuzi,aige mfano wa Ali Hapi
 
Nampendea kutokuwa na makuu. Kasuka twende kilioni kapendeza mama wa watu ,hana kujichubua wala nini
Hivi nywele zake huwa anazikata au hazikui. Tangu namwona kwenye runinga na kwenye sherehe yupo vile vile. Na mimi nampenda alivyo ingawa sijui kisiasa yukoje.
 
 
Kwani lazimaawe mwanasiasa ndiyo aishi?
 
Kweli uchawi upo, unamuacha huyu benchi unamchukua Jenista Mhagama[emoji1787][emoji1787]
 
Mbona huyu mama huko ccm ana cheo kikubwa tuu kama kada mwandamizi. Mwenyekiti bodi ya TBS. Mzee wake ni Profesa.

Kwa mfumo huu wa kuombena vyeo ndio maana nchi inashindwa kupiga hatua. Kila mtu aombewe cheo tena itakuwaje katika nchi yenye watu milioni 61.

Walimu wazuri wa vyuo vikuu wote wanakimbilia siasa huko vyuoni kutabaki walimu wa kawaida. Huyu aligombeaga ubunge kule alokishinda Kitila mkumbo akashindwa kwenye kura za maoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…