Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,249
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
 
Huyu mama ni PhD holder sidhani kama ana njaa.
 
Ndionabyoishia hivyo? Baada ya kutoka kidogo mnakuwa kama fisi wa wachawi wanavyranda Randa mitaani mchawi akitoweka? Sasa mnakufa kwa jambo gani kama hamuwezi kuwa financially secure baada ya kuondoka? Kwanini muumize watu kujipendekeza?
 
Ugomvi wa kike hauishi leo wala kesho alisema jamaa moja
 
Dada wa taifa sexism tena....km mlivyomwita wa wizara ya afya Enzo za jiwe.
 
Sasa huu ndo uchawa sasa kama wa mji wa Giningi🤣
 
Ameshajiajiri sio lazima teuzi
 
Mama anakwepa sana wanawake wenzie hasa majembe!! Ana kijicho!!
Mswahili huyo asiyejua alifanyalo.
Nchi inaangamia na yeye hajali kabisa.
Kesho ni wiki ya mtihali nchi iko gizani watoto hawawezi kujiandaa kwa mitihano.

Pua pua mznzbr
 
Wapo wanawake elfu tisini wenye uwezo kama wake afe na uchawa wake.
 
Mbona huyu yupo nje tangu 2015?. What special atakacholeta?
 
Hivi kuna watu wangapi mtaani ambao Wana sifa za kuajiriwa,halafu hawajawahi kuajiriwa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…