SAMIA na MAGUFULI ni kitu kimoja.Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.
Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.
Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.
Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.
Kwa nini wanakudharau namna hii?
Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?
This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
AngechelewaKwahiyo asingedhulumu asingekufa?
Wewe unajuaje? kila kifo kina sababu na wakati huo huo tunajua kuwa kila mtu muda wake ukifika lazima afe tu.Angechelewa
Gwajima anaibuka na kauli hizo baada ya kuibuka kundi la mandezi wachache ambao walianza kushinikiza chanjo ziwe za lazima,tena zaianzie kwa askari kama majaribio.Rais,na Wizara wanasema watu wachanjwe kwa hiari,Gwajima wanasema watu wasichanjwe kabisa.
Naona kama Watu Wanamdharau Rais SAMIA.
Ya Mungu mengi, elimu bahariWewe unajuaje? kila kifo kina sababu na wakati huo huo tunajua kuwa kila mtu muda wake ukifika lazima afe tu.
Yeye mwenyewe ni mtu wa mwendazake, atawaacha vipi hao wanaoonekana kuwa wasaliti?. Cha muhimu ni kuchapa kazi na kuwaamini wote wanaomzunguka.Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.
Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.
Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.
Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.
Kwa nini wanakudharau namna hii?
Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?
This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Chief limeshanza kutokea.Sioni hili likitokea.
Gwajima ni mbunge kwani teuliwa na mti????? Huyo ni mbunge kachaguliwa na wananchi yupo hapo kutetea wananchi.Rais,na Wizara wanasema watu wachanjwe kwa hiari,Gwajima wanasema watu wasichanjwe kabisa.
Naona kama Watu Wanamdharau Rais SAMIA.
Rais anaweza tu kupanga bei za vitu nchini?Rais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.
Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.
Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Naam! kupitia regulatory authoritiesRais anaweza tu kupanga bei za vitu nchini?
Kwanini asiwafukuze hao wahafidhina?"Ametekwa nyara" kiaina na wahifidhina definitely.
Hayo makampuni yalimgomea sababu ya selikali kuwa siyo ya samia?Rais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.
Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.
Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Samia alitumia regulayory authorities zipi?Naam! kupitia regulatory authorities