Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

Bunge si muhimili unaojitegemea...kwani Ndugai (Spika) na wabunge wake ni watekelezaji wa Samia ? Labda Mwigulu ndio anaweza kuliwa kichwa kwenye nafasi yake ya uwaziri akiendelea kukaza kichwa.

Hiyo ndio demokrasia ya kweli !
 
Yaani kiubinadamu angewasaidia Kwanza Hawa watu. Sijui maisha yao yao yakoje lakini nikikumbuka mmoja alijifungia ndani bila kula kwa msongo wa mawazo na alikufa. Na alikuwa ameachana na mume wake akaacha watoto wanne. Hatukumwona mwanaume mpaka tunazika. Tuliwasaidia wale watoto mpaka ndugu na marafiki za marehemu wakachukua maamuzi ya kugawana wale watoto. Hii kitu iliuma watu wengi sana.

Wale watoto nasikia yule wa Kwanza yupo form four mwaka huu. Ni walimu wenzake na marehemu wanamsaidia.

Hawa watoto wakikumbuka kifo Cha mama yao kweli watakuwa na upendo?

Mama tunakuomba wahimize wawasaidie wapate hata nyumba na wale ambao bado wanatangatanga wapate mtaji waweze kusahau yaliyopita.
Dhuluma ya vyeti na bomoa kimara ni moja ya laana iliyomuondoa duniani mwendakombo alitaka kumepanda Mungu kichwani.
Rule number one usimwage damu ya mtu wala machozi ya mtu.
 
Yaani kiubinadamu angewasaidia Kwanza Hawa watu. Sijui maisha yao yao yakoje lakini nikikumbuka mmoja alijifungia ndani bila kula kwa msongo wa mawazo na alikufa. Na alikuwa ameachana na mume wake akaacha watoto wanne. Hatukumwona mwanaume mpaka tunazika. Tuliwasaidia wale watoto mpaka ndugu na marafiki za marehemu wakachukua maamuzi ya kugawana wale watoto. Hii kitu iliuma watu wengi sana.

Wale watoto nasikia yule wa Kwanza yupo form four mwaka huu. Ni walimu wenzake na marehemu wanamsaidia.

Hawa watoto wakikumbuka kifo Cha mama yao kweli watakuwa na upendo?

Mama tunakuomba wahimize wawasaidie wapate hata nyumba na wale ambao bado wanatangatanga wapate mtaji waweze kusahau yaliyopita.
Mkuu hii story yako imenikumbusha hadithi ya Daktari bingwa mmoja wa upasuaji kule Morogoro ambaye alikumbwa na kadhia hii akiwa amebakiza miaka 2 kustaafu. Walio saidiwa wao au ndugu zao kuokolewa maisha walilia sana utadhani ni baba yao mzazi.
Huyu daktari kijijini kwao alifaulu mtoto mmoja tuu kwenda sekondari wakati huo lakini wenye mtoto walikuwa hawakutaka mtotowao akasome maana kazi za Shamba hawakuwa na mtu. Wakamuuzia mtoto mwingine nafasi.
Ndio huyo Dokta, akasoma elimu zote kwa juhudi zake hapa nchini hadi Urusi na kuwa bingwa wa upasuaji.
Kafanya kazi kwa juhudi na uadilifu mkubwa sana lakini 2 years before retirement anaonekana kuna utata kwenye majina na ni daktari fake hivyo kazi hakuna na mafao hakuna! Hata ile michango yake ya akiba ya uzeeni hakuna.
Is it fair kweli? Kaokoa maisha ya watanzania wangapi? Kwani huko alikokuwa anasoma alikuwa anasomewa na mwingine? Zoezi lile halikuwa sahihi
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Ungeishia paragraph ya nne, na Rais angekuelewa na kukazia agizo. Lakini umeendelea mpaka ukavaa gwanda - umeharibu
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Pillar of the Babylon
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Pambafu hao cheti feki ndio unataka walipwe nini. Mtu kagushi na kupata kazi anastahili kufungwa. Chochote alichopata au kufanya kazini ni haramu. Wamesamehewa kushtakiwa kwa hivyo wasithubutu kudai kitu. Kama wana madai yoyote hizo ni fedha za umma zirudi serikalini.
 
Na hapa ndipo tunapoona umuhimu wa elimu ya maana kwa mtu anaepaswa kuwa raisi. Huwezi kuwa raisi na elimu ya kuunga unga utarajie kufanya maamuzi yanayohitaji uelewa mkubwa.
Mama hajaunga Unga ni zao la mzumbe
 
Na hapa ndipo tunapoona umuhimu wa elimu ya maana kwa mtu anaepaswa kuwa raisi. Huwezi kuwa raisi na elimu ya kuunga unga utarajie kufanya maamuzi yanayohitaji uelewa mkubwa.
Mama hajaunga Unga ni zao la mzumbe
 
Dhuluma ya vyeti na bomoa kimara ni moja ya laana iliyomuondoa duniani mwendakombo alitaka kumepanda Mungu kichwani.
Rule number one usimwage damu ya mtu wala machozi ya mtu.
Kwahiyo asingedhulumu asingekufa?
 
Gwajima amemdharau sana Rais Samia, ingekuwa enzi za mwendazake keshapotezwa muda tu
 
Back
Top Bottom