Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,217
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
 
Kuna mambo anajiosha tu ila inabidi yafanyike. Mama ahitaji pesa na Mwigulu analeta pesa unataka akatae? tuna tabia ya kukuza kila jambo kuliko uhalisia, kodi za miamala zinakwepeka na zinavumilika na ni njia nyepesi ya kupata pesa.
Sasa kwa taarifa yako, hiyo njia unayoona wewe ni rahisi kupata kodi ndio kapotea mazima. Miamala inakufa na mapato yake yatakuwa madogo kuliko awali na ajira nyingi za vijana wa miamala zitapotea
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Kumbe Samia siyo wa mwendazake?

Jinga kabisa hili bavicha
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Yaani kiubinadamu angewasaidia Kwanza Hawa watu. Sijui maisha yao yao yakoje lakini nikikumbuka mmoja alijifungia ndani bila kula kwa msongo wa mawazo na alikufa. Na alikuwa ameachana na mume wake akaacha watoto wanne. Hatukumwona mwanaume mpaka tunazika. Tuliwasaidia wale watoto mpaka ndugu na marafiki za marehemu wakachukua maamuzi ya kugawana wale watoto. Hii kitu iliuma watu wengi sana.

Wale watoto nasikia yule wa Kwanza yupo form four mwaka huu. Ni walimu wenzake na marehemu wanamsaidia.

Hawa watoto wakikumbuka kifo Cha mama yao kweli watakuwa na upendo?

Mama tunakuomba wahimize wawasaidie wapate hata nyumba na wale ambao bado wanatangatanga wapate mtaji waweze kusahau yaliyopita.
 
Back
Top Bottom