PostGE2025 Rais Samia: Majaji simamieni Haki kwa kuzingatia Katiba bila upendeleo

PostGE2025 Rais Samia: Majaji simamieni Haki kwa kuzingatia Katiba bila upendeleo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Tena naona bora hata majaji walikudhulumu haki utatupwa jela au kupoteza mali lakini uhai utabaki nao angalau kuna siku unaweza kukumbukwa Je yeye anayedhulumu watu haki ya kuishi?
Kadhulumu maelfu ya maisha ya watu,leo ndo anakumbuka kuna haki
 
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma.

"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"

View: https://www.facebook.com/share/v/17wF4ppfeF/
 
Chawa Paskali Mayalla ataleta uzi sasa hivi kuonyesha hayo maigizo ya mama kuwa taratibu anaanza kuomba msamaha!
 
Huyu Mama ni Mbwamwitu aliyevaa ngozi ya Kondoo!
Anahubiri Haki ipi wakati ameingia madarakani kwa kuvunja Haki za raia?
 
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma.

"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"
Aache kejeli Kwa watanzania

Wakisimamia haki yeye mwenyewe alitakiwa awe kwenye Kuta za magereza akisubiri hukumu ya kifo
 
Katiba ipi, ile ya ccm uliyoikanyaga wakati wa kumpata mgombea urais au kile kijitabu kilichokupa usais 2021?
 
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma.

"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"


Tatizo ukiwa na Raisi ambaye yeye mwenyewe kaingia kinyemela halafu ndiye aseme mfuate sheria ni unafiki mkubwa sana
 
"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"
Unawanunua, halafu unageuka nyuma na kuwaambia watende HAKI ambayo wewe mwenyewe hutendi.

Polisi wanateka waTanzania na kuwaua; hawafuati sheria yoyote ile kwa amri zako, sasa unakwenda mbele za watu bila aibu na kuhimiza ambacho hao majaji hawawezi kukifanya?

Unataka waTanzania waelewe kitu gani hapa!

What a waste of time!
 
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma.

"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"
Mhimili wa Mahakama upo huru kweli?..
Pascal Mayalla
 
Wanatuhutubia wanatuona kama vile vipofu hatuoni na viziwi atusikii wanayoyatenda
 
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama (Judiciary Square), mkoani Dodoma.

"Nitoe msisitizo kwamba kwa upande wetu Serikali, tutatimiza wajibu wetu wakuendelea kuimarisha huduma za Mahakama, lakini niwatake nanyi kutimiza wajibu wenu ndugu zangu Majaji na Mahakimu ambao ni kusimamia HAKI kwa kuzingatia KATIBA, SHERIA na MAADILI bila hofu, huba wala upendeleo na hiki ndicho kiapo chenu"
Namwona lisu huyoo anaachiwa
 
Back
Top Bottom