Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Mama Samia kwa nini mnafanya hivi, mbona hii sio fair? Ni wapi tumekukosea?
Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.
Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?
Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?
Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?
Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?
JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi
Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?
Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?
Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda
Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?
Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.
Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?
Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.
Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?
Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?
Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?
Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?
JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi
Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?
Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?
Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda
Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?
Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.
Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?