Rais Samia kwanini unafanya hivi? Ni wapi tumekukosea?

Memento

JF-Expert Member
Jun 13, 2021
4,423
9,962
Mama Samia kwa nini mnafanya hivi, mbona hii sio fair? Ni wapi tumekukosea?

Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.

Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?

Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?

Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?

Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?

JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi

Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?

Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?

Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda

Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?

Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.

Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?
 
Hataki kuongeza mishahara na kupandisha madaraja wafanyakazi, hapo hapo anataka akamue tozo kila eneo, hii Tanganyika inahitaji kuongozwa na watanganyika wenyewe. Tusipotezeane uelekeo, tunahitaji katiba mpya sasa.
 
Hataki kuongeza mishahara na kupandisha madaraja wafanyakazi, hapo hapo anataka akamue tozo kila eneo, hii Tanganyika inahitaji kuongozwa na watanganyika wenyewe. Tusipotezeane uelekeo, tunahitaji katiba mpya sasa.
Anaetaka kuongezewa mshahara ahamie Burundi.
CCM mbele kwa Mbele..!
 
๐Ÿ’ƒ๐Ÿพ๐Ÿ•บ๐Ÿฝ๐Ÿ’ƒ๐Ÿพ๐Ÿ•บ๐Ÿฝ๐Ÿ’ƒ๐Ÿพ๐Ÿ•บ๐Ÿฝ๐Ÿ’ƒ๐Ÿพ๐Ÿ•บ๐Ÿฝ๐Ÿ’ƒ๐Ÿพ
AM1hnY.jpg
 
Anaetaka kuongezewa mshahara ahamie Burundi.
CCM mbele kwa Mbele..!
Tumeshachaguliwa na nchi ya kwenda, waliokuwa wanajitapa kwamba watadandia ndege ya biden kwenda marekani watajikuta wametupwa hapo bujumbura...
 
Mama Samia kwa nini mnafanya hivi, mbona hii sio fair? Ni wapi tumekukosea?

Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.

Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?

Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?

Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?

Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?

JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi

Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?

Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?

Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda

Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?

Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.

Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?
Mkuu,mmeshaambiwa maisha yakiwashinda mhamie Burundi
 
Back
Top Bottom