Rais Samia Suluhu katika ufunguzi wa chuo cha ufundi mkoani Kagera leo ameongelea mambo mengi sana lakini lililonikosha ni hili la kusomesha vijana wanaotoka katika familia duni hii inaonyesha kua Rais Samia Suluhu anampango wa kuwainua vijana na kuondokana na Tatizo la ajira Tanzania kupitia elimu ya ufundi.
Amesema "Nimemsikia Waziri anasema kwenye Chuo hiki cha Veta hapa Kagera vijana 400 watakuwa wa mafunzo ya muda mrefu, kati ya vijana hao vijana 20 wanawake 10 na wavulana 10 wale ambao wanyonge hawana uwezo wa kujilipia nitawalipia mimi." Rais Samia Suluhu
Pia ameongeza kua vijana watakaomaliza chuo hicho cha ufundi waandaliwe mazingira mazuri ya kujiajiri na kuajiriwa lakini pia ameongeza kua Mafundi stadi wengi wanahitajika katika kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati nchini kuna bomba la mafuta linalotoka Uganda kuja Tanzania kuna bwawa kubwa la Nyerere na kuna utekelezaji wa ujenzi wa barabara.
Rais Samia Suluhu anastahili pongezi.
Amesema "Nimemsikia Waziri anasema kwenye Chuo hiki cha Veta hapa Kagera vijana 400 watakuwa wa mafunzo ya muda mrefu, kati ya vijana hao vijana 20 wanawake 10 na wavulana 10 wale ambao wanyonge hawana uwezo wa kujilipia nitawalipia mimi." Rais Samia Suluhu
Pia ameongeza kua vijana watakaomaliza chuo hicho cha ufundi waandaliwe mazingira mazuri ya kujiajiri na kuajiriwa lakini pia ameongeza kua Mafundi stadi wengi wanahitajika katika kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati nchini kuna bomba la mafuta linalotoka Uganda kuja Tanzania kuna bwawa kubwa la Nyerere na kuna utekelezaji wa ujenzi wa barabara.
Rais Samia Suluhu anastahili pongezi.