Kwaiyo ulitaka asiwasaidie? acha roho mbaya kijana mdogo Rais Samia Suluhu ana moyo wa kutoa acha atoe na Mungu atambarikiKwa nini atoe pesa ya mfukoni mwake??
Yaani serikali inayokusanya kodi inashindwa yeye kwa fedha za mfukoni mwake atawezaje??
Hapa tunamuongea Rais Samia Suluhu kipenzi cha watanzania wote anaepambana kwa hali na mali kutokomeza tatizo la ajira TanzaniaWale wasichana wa mama salma wako wapi leo?