ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Inasemekana Mbowe kama msemaji wa familia amemualika Rais Samia kuongeza protokali za mazishi ya Mzee Mtei
Licha ya kuwepo mvutano wa Serikali na Chadema katika mambo mengi, lakini Mbowe bila kuwashirikisha Chadema amefanya mualiko huo
1. Lissu Mwenyekiti wa Chadema yupo gerezani karibia mwaka Sasa Kwa kesi ya kusingiziwa
2. Chadema imefungiwa kufanya siasa Kwa muda mrefu Sasa
3 Wanachama na viongozi wa Chadema wanapitia harassment nyingi
Binafsi naona huu msiba unawahusu zaidi chadema, wanatakiwa wao washirikishwe kila hatua ya kumzika mwasisi wa Chama chao
Licha ya kuwepo mvutano wa Serikali na Chadema katika mambo mengi, lakini Mbowe bila kuwashirikisha Chadema amefanya mualiko huo
1. Lissu Mwenyekiti wa Chadema yupo gerezani karibia mwaka Sasa Kwa kesi ya kusingiziwa
2. Chadema imefungiwa kufanya siasa Kwa muda mrefu Sasa
3 Wanachama na viongozi wa Chadema wanapitia harassment nyingi
Binafsi naona huu msiba unawahusu zaidi chadema, wanatakiwa wao washirikishwe kila hatua ya kumzika mwasisi wa Chama chao