Ulisikia watu wanachangishwa kujenga madarasa ikipindi cha mama Samia?Mi-ziara kibao tija sifuri!.
Hasara ni nyingi kuliko faida, bado naukumbuka ziara ya Samia kule Dubai na mikataba sijui 200...so far hakuna impact yoyote hata hapo bandarini kwenye hao DIP World!.
Hapana ila madrasa tunachangishwaUlisikia watu wanachangishwa kujenga madarasa ikipindi cha mama Samia?
Bi kiguuMbona una panic na mapovu Juu? Una uhakika? Usiwe unaropoka kama huna uhakika
Mnaibiwa na wanao-wachangisha, nendeni polisi au takukuru.Hapana ila madrasa tunachangishwa
Tozo?Ulisikia watu wanachangishwa kujenga madarasa ikipindi cha mama Samia?
Of courseVasco Dagama wa Kike anaupiga mwingi.
Hatua Moja huanzisha nyingine,mambo hayo huanzia ngazi ya MaraisNchi za wenzetu wakifanya hizi ziara zina ambatana na kutoa vikwazo vyote baina ya nchi husika ikiwemo Visa kwa raia wa pande zote mbili na vyengine kama kutafuta masoko, kuondoa vikwazo vya kiuchumi nk.
Lakini mbona hatuoni haya sisi raia wa kawaida au ni kwa wakubwa tu?
Yote kwa yote safari njema rais wethu.
Rais Samia anatarajia kuanza ziara ya siku 4 Nchini Uturuki tarehe 17/4/2024 Kwa Mualiko wa Rais huyo wa Taifa kubwa bwana Recep Yayib Erdogan.
Huenda Samia ndio atakuwa Rais wa kwanza kufanya ziara rasmi baada ya bwana Erdogan kuchaguliwa Kwa awamu nyingine ya Uongozi.
Kila la Heri madam president,tunatarajia harakati zako za kufungua masoko ya bidhaa za Tanzania zitaendelea.
Msisahau kuwaambia Waturuki wanazingua kwenye ujenzi wa Sgr na Barabara.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1779887483766866125?t=w3QblGwyYqLwGvJj2VXQBQ&s=19
My Take
Chini ya Samia diplomasia imeimarika sana ,Kila mbabe wa Dunia anataka Urafiki na Tanzania kuanzia Kwa Joe Hadi Kwa Putin na Sasa ni Kwa wazee wa Yappi Merkez.
Kazi iendelee.
View: https://www.instagram.com/p/C5zjL_niAYz/?igsh=MWkzaXBmYWUxNXU2
Sio Kwa shehe mkuu?Mnaibiwa na wanao-wachangisha, nendeni polisi au takukuru.
Hakuna alipojipendekeza ila wao ndio walimualika.Katika wote aliojipendekeza kuwatembelea nani kaja huku kwake?
Sio Kwa shehe mkuu?
"shehe mkuu' wako si yupo kanisani? Unaweza kwenda kumshitakia pia. Upo huru.Katika wote aliojipendekeza kuwatembelea nani kaja huku kwake?
Sio Kwa shehe mkuu?
Tozo ni lazima ulipe, unataka huduma za bure? Olewa.Tozo?
Madrassa haziendeshwi na serikali.Hapana ila madrasa tunachangishwa
Huyo Kamala na rais wa German ni wakuu wa sirikali? Acha upoyoyo hao ni wakutumwa tu...ila huyu wa kwetu hajawahi wakilishwa Kila mahali ni yeye tuuu...aibuHakuna alipojipendekeza ila wao ndio walimualika.
Madam Kamala kaja,Rais wa Germany kaja(hapa mama hajawahi kwenda Germany),na wengine wengi kutoa Ulaya na Asia.
Ropoka kingine
Muulize yule Babu khamenei kama hachagishi madrasaMadrassa haziendeshwi na serikali.
Tozo ndio mchango wenyewe na hata wanaoolewa sio wote wanapata huduma za bureTozo ni lazima ulipe, unataka huduma za bure? Olewa.