Rais Samia katuthibitishia matumizi ya Kiswahili hayakuwa kukikuza bali kuna mtu lugha ya Kimataifa hakuiweza

Mtu amefariki bado watu mnamuongelea as though mnalipwa. Mbaya wenu kaondoka wote mtakua matajiri sasa muacheni nae apumzike kwa amani.
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.
Mtu na mjomba ake. Endelea kutetea kaburi. Utateuliwa kusimamia ghala la chakula kuzimu na mtangulizi wako. kingereza ndo lugha ya mikataba globally.

Wapuuzi wachache ndio hudhani na kuwa na fikra Kama hizi zako. Tena wengi wameibuliwa na awamu ile ya ukosefu wa utu.!!!
 
Mwendazake alikuwa SELFISH sana. Kuna vitu vitatu ambavyo ni MADHAIFU yake lakini alivigeuza ni SERA ya Utawala wake.
1. Pacemaker vs Kusafiri Nje
Yeye aliwekewa pacemaker mwaka 1992 na kutokana na hilo alikuwa hashauriki kusafiri safari ndefu mara kwa mara na ndege. Kwa kuona hawezi kusafiri, akazuia watumishi wa Serikali kusafiri Nje ya Tanzania mpaka kwa kibali maalum

2. Kiingereza Broken vs Kiswahili
Kwa kweli Magufuli hakuwa na uwezo wa kuongea Kiingereza kilichonyooka. Ni broken tupu ndiyo anaijua sana. Kutokana na yeye kutijuwa Kiingereza pamoja na kuwa na PhD fake akajifanya ana promote Kiswahili na akataka hata Mahakama Kuu itumie Kiswahili

3. Watoto wengi vs Uzazi wa Mpango
Kutokana na maisha yasiyo na maadili ana watoto 7 rasmi na 5 wengine aliozaa na wanawake mbali mbali. Kutokana na hilo amekuwa anawaambia Watanzania wazaliane tu.

He was rubbish to be sincere, Tanzania didn't deserve him
Unamjulia!
 
Kutojua lugha ya kimataifa haikuwa kikwazo katika kuliletea taifa maendeleo chanya.
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.

Uko sahihi kuwa kujua lugha sio usomi! Lakini hoja ya mleta mada sio elimu, ni lugha. Na sio vibaya kutojua lugha.

Mleta mada anadadisi kama kutaka kuendeleza lugha kulichagizwa na kutoimudu au umuhimu wake kimataifa!! Lugha ya kiingereza inaizidi lugha yetu pendwa kimataifa! Kiingereza ni lugha inayoongewa zaidi duniani!

Hebu tujitahidi kufahamu kiingereza sawa sawa na tunavokifahamu kiswahili. Au haiwezekani????
 
Back in days when we were ignorant that's what we thought.but recently after being educated we dont have any more that ill-thinking.

I'd prefer the person who will honor their language first. We don't need to live in old poor,slavery mentality thinking that, English will make us look like them. We, who are Educated have moved from those days of slavery.

kwa kuwa umeruhusu tukukosoe basi acha tutimize wajibu.

I'd prefer the person who will honor their language first(i prefer a person who honers his/her national language).

We, who are Educated have moved from those days of slavery(we have moved from old slavery days).


NB: kingereza chako ni cha kawaida sana, jifunze kuandika sentesi fupi zinazoeleweka zenye maneno machache.

nitafarijika zaidi kama utanijibu kwa kingereza ili tuendelee "kupanuana" mawazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


😆😆😆😆
 
Marais wa France,China German,Russia na kwingineko wote hua wanatumia lugha zao,acha kua na mawazo ya kitumwa.

Wewe umechagua tu kuwa mtumwa wa nyumbani!! Ni kweli wanatumia lugha zao kwa kuwa protokali za mawasiliano za nchi zao zinataka hivo. Sio kwa sababu hawajui kiingereza. Sisi hatuna protokali zinazotutaka tutumie kiswahili kwa sababu mifumo yetu ya kazi ni ya kiingereza, sawa na hao wafaransa kwa kifaransa, wachina kwa kichina.

Ungeeleweka kama hadhira ingekuwa ya kireno au kifaransa. Hadhira ya kiingereza bado unaona kingezungumzwa kiswahili???

Acheni mzaha, hawa wakoloni kwenye swala la lugha walituwahi. Tunatumia lugha zao katika elimu na uendeshaji wa serikali na mahakama kuu na bunge. Ni rahisi zaidi (kifedha na kimuda) kufanya mambo yetu kwa kiingereza kuliko kiswahili.

Mama anajiongezea maadui. Badala ya kumlaumu mama, unalaumu mtu anayeona mama kafanya vema. Jifunze kiingereza na kiswahili na bado hautakuwa mtumwa. Kuwa mtumwa ni zaidi ya lugha. Ona umejiita icebreaker - hebu jiite jina hilo kiswahili!!
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.
Kama ni lugha kama lugha nyingine, ukiijua kuna ubaya gani sasa.
Kwani mtu akikijua Kichina kwa mfano si atakuwa msaada kwa tusiokijua?
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


Mtu anasoma Chemistry mpaka PhD level unasema hajui English. Kwani hiyo Chemistry alisoma Kisukuma?
 
Wewe umechagua tu kuwa mtumwa wa nyumbani!! Ni kweli wanatumia lugha zao kwa kuwa protokali za mawasiliano za nchi zao zinataka hivo. Sio kwa sababu hawajui kiingereza. Sisi hatuna protokali zinazotutaka tutumie kiswahili kwa sababu mifumo yetu ya kazi ni ya kiingereza, sawa na hao wafaransa kwa kifaransa, wachina kwa kichina.

Ungeeleweka kama hadhira ingekuwa ya kireno au kifaransa. Hadhira ya kiingereza bado unaona kingezungumzwa kiswahili???

Acheni mzaha, hawa wakolobi kwenye swala la lugha walituwahi. Tunatumia lugha zao katika elimu na uendeshaji wa serikali na mahakama kuu na bunge. Ni rahisi zaidi (kifedha na kimuda) kufanya mambo yetu kwa kiingereza kuliko kiswahili.

Mama anajiongezea maadui. Badala ya kumlaumu mama, unalaumu mtu anayeona mama kafanya vema. Jifunze kiingereza na kiswahili na bado hautakuwa mtumwa. Kuwa mtumwa ni zaidi ya lugha. One umejiita icebreaker - hebu jiite jina hilo kiswahili!!
Naona badala ya kudeal na hoja umekuja na michambo kama Mama mwenye nyumba,polepole basi usije ukakata shanga,

Nimekwambia watu wanathamini lugha zao ambazo ni moja ya identity ya tamaduni za nchi zao ila naona umekuja na personal attack,watu kama wewe hua nawapokea kama mnavyokuja.
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


Huyu mama mambo ya kiprotokali hayajui vizuri vinginevyo atakua na jambo lake. Waziri wake kaanza na kingereza kisha kaomba radhi aendelee kwa lugha rasmi ya kwao. Rais wake kuja anapwaga tu kizungu. Hakika ni pigo kwa juhudi ya kukipa hadhi yake kiswahili.
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


Jinsi tunavyoendelea kupambana na marehemu ndio jinsi tunavyolijenga jina lake lizidi kuwa kubwa. Tukumbuke, hii ni free airtime. Alipokuwa hai aliongea mwenyewe. sasa hivi tunabeba vipaza sauti kumpigia debe.
JPM kweli alikuwa mwamba. So far tunamkuza kwa kufikiri ndio tunamzamisha
 
Back
Top Bottom