Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.
Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.