Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Tutamuacha pale tu mtakapoacha kupotosha kwamba yeye ndo alikuwa chanzo cha kila kitu Tanzania utadhani hela alikuwa anatoa mfukoni kwake.Inatosha sasa tumuache mzee apumzike tuige yale mema mabaya tuyaepuke yaani nyuzi zimekuwa nyingi sana tuache izo