Rais Samia katuthibitishia matumizi ya Kiswahili hayakuwa kukikuza bali kuna mtu lugha ya Kimataifa hakuiweza

Hivi huyo ni msemaji wa Chadema? Mbona unampakazia cheo ambacho sio chake?
Au ni kwa sababu wewe unaisemea CCM?
Na kama huwa unaisemea CCM basi sio ajabu inapojulikana kuwa ni chama cha majitu ya hovyo
Chadema mnajidharau sana
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.

Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


St.u.p..i.d article.. jinga Sana wewe unayekidharau kiswahili chetu..pumb.af kabisa. Kiswahili chetu kina tatizo gan..wewe inawezekana sio mtanzania. Kwendazak.o
 
Mkutano wake wa kwanza nje ya nchi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katumia Kiingereza lugha ambayo inaeleweka vizuri kwa wenzetu Waganda na hao Wawekezaji badala ya kiswahili ambacho kilikuwa kinalazimishwa na JPM eti kulienzi wakati ukweli ni kuwa lugha hiyo nyingine ilikuwa inampiga chenga hivyo hakuielewa kiufasaha.

Naamini hatukua tunaambiwa ukweli lakini njia iliyokuwa inatumika hangeweza kuwa sahihi kukuza kiswahili nje ya Tanzania bali njia sahihi ni kuifundisha katika mashule na vyuo huko nje.


St.u.p..i.d article.. jinga Sana wewe unayekidharau kiswahili chetu..pumb.af kabisa. Kiswahili chetu kina tatizo gan..wewe inawezekana sio mtanzania. Kwendazak.o
 
St.u.p..i.d article.. jinga Sana wewe unayekidharau kiswahili chetu..pumb.af kabisa. Kiswahili chetu kina tatizo gan..wewe inawezekana sio mtanzania. Kwendazak.o
Hata mm siyo mtanzania.

Utatufanya nn?
Mmeachiwa ujinga na Magufuli wa kuwatisha watu kwa kusema "wewe sio mtanzania".
Kwendeni zenu.
 
Marehemu hawezi kuzamishwa na maneno, atafutika kwa ukweli kujulikana kama ilivyotokea kwa watu kama Hitler, Bokassa nk
Hate or love, JPM's legacy will be one of the interesting to learn and make a reference about in our continent. One of the signs that his legqcy has refused to be buried with his body, is the way people debate, with love and some with hate. After all, who is he to be loved by everybody?
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.
Nani kasema hayo ya usomi na kiingereza? Jiwe lako lilikuwa linajua neither kiswahili nor kiinglish, usome mpaka PhD kwa kiingereza na bado huijui hiyo lugha alafu uje ujitetee eti mbona wenye PhD China au Ufaransa hawajui kiingereza, wewe ni taga tu
 
Marais wa France,China German,Russia na kwingineko wote hua wanatumia lugha zao,acha kua na mawazo ya kitumwa.
Acha kuwa kama mtupori wew kiumbe, hizo, nchi wakiwa shuleni wanasoma wanatumia lugha gani? Na sisi tunatumia lugha gani? Watu wengine ni mzigo kwa Taifa. Unaweza jiuliza mtu kama Jiwe alitoka wapi kumbe tunao watu wa aina hiyo sema hawajulikani tu. Mmojawapo ni wewe.
 
Kumkosoa mtu kuwa hafahamu kiingereza hata wazungu wenyewe watakuona una upumbavu au kichwani haupo vizuri. Kiingereza si lugha ya mtu husika akijua au asipojua siyo issue. Kikwete hakuwa akifahamu kiingereza vizuri. Mwinyi hakuwa akifahamu kiingereza vizuri ila alizunguza kiswahili kizuri cha kuvutia.

Marais waliokuwa wakifahamu kiingereza vizuri ni Nyerere na Mkapa. Kiingereza cha Mama Samia cha kawaida. But pia sawa. Anafahamu kiingereza. So what? Mumlaumu mtu ambaye hafahamu kiswahili na ni mtanzania. Mengine ni kuendeleza utumwa karne ya 21.
Kujifunza lugha na kuitumia mpaka unapata PhD na still huijui hiyo lugha ujue wewe una matatizo kama ya Jiwe. Ndiyo maana PhD holder kutoka China au Russia hawezi kulaumiwa kwa kutokuju kiingereza, huyo Jiwe wako alikuwa na PhD fake ndiyo mana alikuwa anakiogopa kiingereza. Mfano tu mwanangu hata standard five hajafika lakini anaongea kiingereza vuzuri tu na siwezi sema ni msomi. Ajabu ni huyo mwenye PhD lakini lugha inampiga ngwara.
 
AFRICA ni Tanzania na Congo ndo nchi ambazo ukiongea Lugha ya aliyekutawala ndo unaonekana msomi na mwenye kujua vitu.

Pia elimu ya mtu ,ufahamu,maarifa vinapimwa kwa kuongea Lugha ya mabeberu hasa beberu wa London kwa Congo vinapimwa kwa Beberu wa Paris
Shuleni wanatumia lugha gani kusomea maarifa?
 
Acha kuwa kama mtupori wew kiumbe, hizo, nchi wakiwa shuleni wanasoma wanatumia lugha gani? Na sisi tunatumia lugha gani? Watu wengine ni mzigo kwa Taifa. Unaweza jiuliza mtu kama Jiwe alitoka wapi kumbe tunao watu wa aina hiyo sema hawajulikani tu. Mmojawapo ni wewe.
We binti unawashwa? Ungejibu kwa lugha ya heshima ungepungukiwa nini kenge wewe,
Kwa akili hizo hata ukieleweshwa huna akili ya kuelewa,una comment kwa kutumia vineno vya kipumbavu ili uchekewe na wapuuzi wenzako?
 
We binti unawashwa? Ungejibu kwa lugha ya heshima ungepungukiwa nini kenge wewe,
Kwa akili hizo hata ukieleweshwa huna akili ya kuelewa,una comment kwa kutumia vineno vya kipumbavu ili uchekewe na wapuuzi wenzako?
Sasa hapa kenge nani? Yeye au wewe?
Ku panic ni dalili ya kukosa hoja, aikujibu vizuri tuu ila wewe ndio umemtukana
 
We binti unawashwa? Ungejibu kwa lugha ya heshima ungepungukiwa nini kenge wewe,
Kwa akili hizo hata ukieleweshwa huna akili ya kuelewa,una comment kwa kutumia vineno vya kipumbavu ili uchekewe na wapuuzi wenzako?
Yawezekana kwako ukaona nimetumia lugha mbaya ila sijakutukana wala kutoa matusi kwa yoyote, so mkuu hukuwa na haja ya kuniiita mimi kenge wala binti, anyway next time nadhani utajirekebisha
 
Back
Top Bottom